BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA

BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA
kiungo : BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA

soma pia


BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antipas Lissu amekimbizwa hospitali mchana huu  baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana leo mchaa akiwa nyumbani kwake Mkoani Dodoma.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kuwa Mh. Lissu amepigwa risasi zaidi ya mbili alipokuwa ametoka bungeni na kwenda nyumbani kwakwe kwa ajili ya chakula cha mchana.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopo ni kwamba amekimbizwa hospitali na sasa yupo chumba cha upasuaji.


Hivyo makala BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA

yaani makala yote BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/breaking-news-tundu-lissu-apigwa-risasi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BREAKING NEWS: TUNDU LISSU APIGWA RISASI DODOMA"

Post a Comment