BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini

BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini
kiungo : BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini

soma pia


BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini

  Katibu Mtendaji BASATA, Godfrey Mngereza  akimkabidhi  cheti cha kutambua umuhimu wa wasanii wa sanaa ya tasnia ya Injili kwa Rais wa TAGOANE , Godwine  Maimu Nnyaka leo jkatika ofisi za BASATA jijini Dar.

Na Agness Francis , Globu ya Jamii.
Mtandao wa wasanii wote  wa tasnia ya injili  na maadili ya Utaifa, Tanzania Gospel  Artists Nertwork (TAGOANE) wamekabidhiwa  cheti kilicho sajiriwa  kisheria  kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia chombo chenye dhamana BASATA  na kupewa namba ya usajiri  BST/00020 kwa mujibu wa sheria Na.23 ya mwaka 1984.

Zoezi hilo limeongozwa na  Katibu Mtendaji BASATA, Godfrey Mngereza  ambaye ndiye amekabidhi  cheti hicho leo  katika ofisi zake zilizoko BASATA  Ilala Sharif Shamba  Jijijni Dar es Salaam.

Katibu Mtendaji BASATA, Godfrey Mngereza amesema kuwa maadili mema  huleta amani kwa wananchi na amewapongeza  wasanii hao kwa hatua waaliofikia  hadi sasa kwa kutembelea mikoa tofauti tofauti nchini  kwa lengo la kuwaunganisha na fursa mbalimbali ulimwenguni  katika kukuza huduma na kukua kiuchumi .

 Hata hivyo Rais wa TAGOANE , Godwine  Maimu Nnyaka ametanabaisha kuwa watashirikiana na Seriakali  katika kukuza pato la taifa kwa kudhibiti wauzaji haramu, wanyonyaji  na matapeli wa kazi za wasanii  kwa kuchukuliwa hatua za kisheria  kwa dhumuni la kuongezea kipato Taifa na kwa wasanii pia.

Nae Katibu mkuu TAGOANE,  Mchungaji Lucy Wilson ametoa wito kwa wakidada na wakinakaka wajitokeze kwa wingi  kujiunga na  mtandao huo  wa wasanii wote wa tasnia ya injili na maadili ya utaifa na waichukulie sanaa ya injili kama kazi zingine.
Rais wa TAGOANE , Godwine  Maimu Nnyaka akizungumza na waandishi wa habari  kuhusu kuwaunganisha wasanii wote wa Tasnia ya Injili ili kuwa na sauti moja na lugha moja ili kufikia malengo yao kiroho na kimwili leo walipokuwa wakikabidhiwa cheti na BASATA cha kutambua umuhimu wa wasanii wa sanaa ya tasnia ya Injili.
 Katibu Mtendaji BASATA, Godfrey Mngereza akiwapongeza Viongozi wa wasanii wote wa Tasnia ya Injili kwa hatua waliofikia kwa kutembelea baadhi ya mikoa mbalimbali hapa nchini  kwa lengo la kuwaunganisha na fursa mbalimbali ulimwenguni  katika kukuza huduma na kukua kiuchumi 
Baadhi ya viongozi wa wasanii wote wa Tasnia ya Injili pamoja na wasaii wakiwa kwenye picha ya pamoja.


Hivyo makala BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini

yaani makala yote BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/basata-yatoa-cheti-cha-utambuzi-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "BASATA yatoa cheti cha utambuzi kwa Tasnia ya Injili nchini"

Post a Comment