title : Wadau Wahamasishwa Kusaidia Ushiriki wa Tanzania Tamasha la JAMAFEST
kiungo : Wadau Wahamasishwa Kusaidia Ushiriki wa Tanzania Tamasha la JAMAFEST
Wadau Wahamasishwa Kusaidia Ushiriki wa Tanzania Tamasha la JAMAFEST
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akikiwasilisha mada katika mkutano wa wadau katika kuchangia ushiriki wa Tanzania katika Tamasha la Utamaduni la Afrika Mashariki (Jamafest) leo Jijini Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bibi. Leah Kihimbi akizungumza kwa niaba ya Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe katika mkutano wa wadau katika kuchangia ushiriki wa Tanzania katika Tamasha la Utamaduni la Afrika Mashariki (Jamafest) leo Jijini Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240.
Mkurugenzi wa Vipindi wa Clouds Media Group (CMG), Bw. Ruge Mutahaba akichangia mada wakati wa kikao cha wanakamati ya maandalizi ya kufanikisha ushiriki wa Tanzania katika Tamasha la Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Jamafest) litakalofanyika Jijini Kampala, Uganda, leo Jijini Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240.
Mwakilishi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Bw. Nelson Madirisha akisisitiza jambo wakati wa kikao cha wadau kufanyikisha ushiriki wa Tanzania katika Tamasha la Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Jamafest) litakalofanyika Jijini Kampala, Uganda, leo Jijini Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wasanii takribani 240.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Hivyo makala Wadau Wahamasishwa Kusaidia Ushiriki wa Tanzania Tamasha la JAMAFEST
yaani makala yote Wadau Wahamasishwa Kusaidia Ushiriki wa Tanzania Tamasha la JAMAFEST Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Wadau Wahamasishwa Kusaidia Ushiriki wa Tanzania Tamasha la JAMAFEST mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/wadau-wahamasishwa-kusaidia-ushiriki-wa.html
0 Response to "Wadau Wahamasishwa Kusaidia Ushiriki wa Tanzania Tamasha la JAMAFEST"
Post a Comment