title : RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA KIGAMBONI LEO, AJICHANGANYA NA WANANCHI KWENYE PANTONI
kiungo : RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA KIGAMBONI LEO, AJICHANGANYA NA WANANCHI KWENYE PANTONI
RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA KIGAMBONI LEO, AJICHANGANYA NA WANANCHI KWENYE PANTONI
Mwambawahabari
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Yusuph Ndemango ambaye ni mlemavu wakati alipomkuta ndani ya jengo la abiria lililopo upande wa Magogoni kabla ya kuvuka na Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ndani ya Kivuko cha MV Kigamboni pamoja na abiria wengine wakati akivuka kuelekea upande wa pili wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mama mmoja mara baada ya kuvuka upande wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana pamoja na kuzungumza na abiria mbalimbali wakati akisubiri kuvuka kwa kutumia usafiri wa Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Kigamboni mara baada ya kuvuka kwa kutumia usafiri wa Pantoni wakati katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Hivyo makala RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA KIGAMBONI LEO, AJICHANGANYA NA WANANCHI KWENYE PANTONI
yaani makala yote RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA KIGAMBONI LEO, AJICHANGANYA NA WANANCHI KWENYE PANTONI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA KIGAMBONI LEO, AJICHANGANYA NA WANANCHI KWENYE PANTONI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/rais-dkt-magufuli-atembelea-kigamboni_25.html
0 Response to "RAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA KIGAMBONI LEO, AJICHANGANYA NA WANANCHI KWENYE PANTONI"
Post a Comment