Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhikiungo :
Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi
Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi
Leo ulifanyika mkutano na Waandishi wa habari ukimuhusisha Mkurugenzi wa vipindi Clouds Media Ruge Mutahaba, RC wa Dar es Salaam Paul Makonda na Jukwaa la Wahariri kuhusu swala la kufungiwa kwa habari za Mkuu wa mkoa Paul Makonda.
Baada ya mkutano huo na mengine yaliyojadiliwa na kauli zilizotolewa ikiwemo ya Mkuu wa Mkoa Paul Makonda kusema hawezi kuomba radhi, Ruge Mutahaba amehojiwa na vyombo vya habari baada tu ya mkutano huo kuisha na kueleza msimamo wa CLOUDS.
“Baada ya jambo la leo msimamo wa CLOUDS MEDIA GROUP ni uleule tuliokua nao toka siku ya jumamosi baada ya kupatanishwa na Mh. Rais, siku ile alivyotupatanisha sisi kama Watanzania hatukua na budi zaidi ya kukubali na kurudi kwenye uhusiano wa kiuweledi.
“Leo tuliitwa kwenye kikao kwa kutegemea labda kungekua kuna kingine cha ziada lakini…………………………” Amesema Ruge
Hivyo makala Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi
yaani makala yote Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/msimamo-wa-clouds-media-baada-ya.html
Related Posts :
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO AZINDUA KAMATI YA MAAFA YA MKOANa Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini .
serikali mkoani Kilimanjaro imezindua kamati ya Maafa ya mkoa ikiwa ni sehe… Read More...
Sethi apinga kuenguliwa IPTL,akanusha taarifa zinazosambazwa mtandaoni.Mkurugenzi na Mmilikiwa kampuni ya PAP/IPTL ,Harbinder Sing Sethi Amekanusha taarifa zinazosambzwa mitandao kuwa amefutwa kuwa Mwenyekiti na… Read More...
KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA KIKUNDI CHA KITAIFA CHA MASUALA YA JINSIA KATIKA SERA, MIPANGO, MIKAKATI, PROGRAMU NA BAJETI
Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akizungumza katika kikao baina yake na kikundi cha uingizaj… Read More...
MAOFISA KILIMO WOTE KIGOMA WATAKIWA KUHAMIA VIJIJINI KUWASAIDIA WAKULIMANa Rhoda Ezekiel Kigoma,
WAKULIMA wa zao la pamba wilayani Kakonko mkoani Kigoma wametakiwa kuwaepuka wanunuzi ambao hawatambuliki kisheria… Read More...
LAAC YA UGANDA ZIARANI DODOMA, YAFURAHIA MJI WA SERIKALI
Na Ramadhani Juma
WAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa ya Bunge la Uganda wameishukuru Halmashauri ya Manispaa ya Dodo… Read More...
0 Response to "Msimamo wa CLOUDS MEDIA baada ya Makonda Kugomba Kuomba Radhi"
Post a Comment