Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi

Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi
kiungo : Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi

soma pia


Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi



Uhuru Kenyatta
Muda mfupi baada ya kutangazwa mshinda na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya uliofanyika Jumanne August 8, 2017 kwa kupata kura 8,203,290 dhidi ya kura 6,762,224 za Raila Odinga, Uhuru Kenyatta amempongeza mpinzani wake huyo.
Kenyatta ambaye anarudi kwenye uongozi kwa muhula wa pili amempongeza mgombea Raila Odinga akisema katika kila mashindano lazima apatikane mshindi na aliyeshindwa huku akisisitiza umoja ili kuijenga Kenya huku akiahidi kuwahudumia Wakenya wote waliomchagua na wasiomchagua.


Hivyo makala Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi

yaani makala yote Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/alichokisema-uhuru-kenyatta-baada-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Alichokisema Uhuru Kenyatta baada ya kutangazwa mshindi"

Post a Comment