Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene

Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene
kiungo : Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene

soma pia


Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene

1Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – George Simbachawene akisikiliza kwa makini taarifa ya wananchi wa Kijiji cha Lukole wakati wa ziara yake katika Jimo la Kibakwe.
2Baada ya Waziri wa George Simbachawene (Kulia) kupokea malalamiko ya wananchi wa Kijiji cha Lukole kuhusu shida ya maji alikwenda kwenye bomba la Kijiji kuzungumza na wakina mama ambao ndio waathirika wakubwa wa tatizo hilo na kuwataarifu namna ambavyo amekwishaanza kushughulikia kero hiyo.
3Wananchi wa Kijiji cha Kingiti walimsimika WaziriSimbachawene kuwa Chief wa Kigogo na kumkabidhi vifaa Vya Kimila.
4Waziri wa Tamisemi George Simbachawene (katikatialiyekaa) akisimikwa kuwa chief wa Kigogo katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijiji cha Kingiti.
5Waziri wa Tamisemi Mhe. George Simbachawene akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kingiti wakati wa zaiara yake katika Jimbo la Kibakwe.
…………………….
NteghenjwaHosseah – Kibakwe
UharibifuwavyanzovyamajinitatizolililokithirikatikamaeneomengiNchini Tanzania hukuwananchiwamaeneohayowakiendeleakushuhudianakuvumiliauharibifuhuoetikwasababutuwahusikanindugu, jamaaamamarafikiwajamiihusika.
Pasipokujaliatharizinazowezakutokeakutokananauharibifuwamazingirahususanvyanzovyamajiwananchiwameendeleakulima, kufuga, kuchungapamojanakuishikatikamaeneohayopasipokuwanashakayoyotenakusababishaukosefuwamajikwajamiiinayotegemeavyanzohivyo.
AtharizaidizimethibitijakatikaKijiji cha ChinyikanaLukolevilovyopo kata yaChinyikakwakukosamajikutokananaUharibifuuliofanywanabaadhiwawananchikatikachanzo cha majikwenyemilimayawotaambachondiochanzokikuu cha majiyamtiririkokwawananchizaidiyaelfusaba.
Hali hiiimepelekeawananchiwavijijihivyovyenyevitongojizaidiyakuminatanokuwekeanazamuyakuchotamajiambapokwa wiki kilaKijijihupatamajikwasikutatunakila kaya huchotaNdoonnekwasikuyazamuyaoambapokiasihichohakiwajawahikuwatoshamahitajiya Kaya.
WananchiwaKijiji cha ChinyikawamepazasautizaokwaWaziriwaNchi – OfisiyaRaisTamisemiMhe. George SimbachawenewakatiwaziarayakeKatikavijijihivyonakulalamikiatatizo la upungufuwamajinaadhawanayopatakutokananahalihiyo.
Mhe. WaziriSimbachaweneameshuhudiafolenindefuyandoozawakinanawakiwabondanikusubiriakupatajapomajiyakupikiachakula cha Familia: Wakinamamahaohushindazaidiyasikunzimabombanihapo au penginekukeshailikuwanauhakikawakupatajapondoomojayamajikwamatumiziyanyumbani.
AkizungumzanawakinamamaMhe. Waziriamesemaanatambuaadhawanayoipatanaamewahakikishiakwambaataanzakutatuachangamotohiyokwakuhakikisha wale wotewanaharibuvyanzovyamajikatikaWilayayaMpwapwawanatiwanguvuninakuchukuliwahatuazakisheria.
“NinajuakwambawaharibifuwavyanzohiviniwatuwenyenguvulakininamimintaongezanguvukwenyeKikosikazi cha Wilayailikuhakikishakwamba wale wotewanaoishikaribunavyanzohivyowanahamishwanamazaoyaoyanaharibiwa, mifugoinaondolewanawanapelekwaMahakamani” alisemaMhe. Simbachawene.
PiaaliongezakuwaFedhazimekwishatengwazaidiyaTsh Mil 160 kwaajiliyaukarabatiyamiundombinuinayotoamajikutokakatikaMilimayaWotakupitiaKingitihadikufikaLukolenaHalmashauriyaMpwapwaimeanzautekelezajiwamradihuuutakaokuwanamanufaakwawananchinaataongezaTsh Mil 13 kwaajiliyakuchimbakisima.
NayeMhandishiwaMajikatikaHalmashauriyaWilayayaMpwapwa Bi. ApoloniaTemuameelezeasababuyaukosefuwamajikatikavijijihivyokuwanipamojanauharibifuwamazingira, ongezeko la watuukilinganishanahapoawalinauchakavuwamiundombinuambayokwasasaimeanzakukarabatiwa.
Mhe. WaziriSimbachaweneameendeleanaziarayakekatikaJimbo la KibakwenakwasikuyatatuametembeleavijijivyaLukole, KingitinaItengeambapoamefanyamikutanoyahadhara, amesikilizakerozawananchipamjanakukaguamiradiyamaendeleo.



Hivyo makala Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene

yaani makala yote Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/waharibifu-wa-vyanzo-vya-maji-kukiona.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Waharibifu wa Vyanzo vya Maji Kukiona – Waziri Simbachawene"

Post a Comment