VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU

VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU
kiungo : VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU

soma pia


VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU

Mwambawahabari

Na Stella Kalinga, Simiyu


Jumla ya Vijiji 347 Mkoani Simiyu vinatarajia kupata Umeme kupitia Mradi wa Umeme Vijijini (REA) awamu ya Tatu ambao utatekelezwa katika kipindi cha miezi 24 kuanzia mwezi Julai 2017.


Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dkt.Medard Kalemani wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA) Awamu ya Tatu na utambulisho wa Mkandarasi wa mradi katika Kijiji cha Nangale, Kata ya Ndolelezi Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu


“Mradi wa REA awamu ya tatu utapeleka Umeme katika vijiji vyote vya Mkoa wa Simiyu hilo la kwanza, pili mradi huu utapeleka Umeme katika vitongoji vyote hata vijiji ambavyo vilipelekewa Umeme lakini baadhi ya vitongoji vyake bado havina umeme, sasa katika awamu hii navyo vinapelekewa” amesema Kalemani. 


Ameongeza kuwa Umeme wa REA awamu ya tatu pamoja na kuwanufaisha wananchi katika makazi yao kwenye vijiji vyote 347 vilivyosalia pia utapelekwa katika Taasisi za Umma zikiwepo shule, vituo vya kutolea huduma za afya, visima na mitambo ya miradi ya maji pamoja na nyumba za ibada( makanisa na misikiti).

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe.Dkt.Medard Kalemani akizindua Mradi wa Umeme Vijijini (REA)Awamu ya Tatu Mkoani Simiyu katika Kijiji cha Nangale wilayani Itilima (kushoto) Mkuu wa mkoa huo, Mhe.Anthony Mtaka.

Mmoja wa Wazee 10 waliopewa kifaa cha Umeme kiitwacho UMETA katika Kata ya Ndolelezi Wilayani Itilima na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe.Dkt.Medard Kalemani akitoa shukrani wakati wa uzinduzi wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA)Awamu ya Tatu Mkoani Simiyu uliofanyika katika Kijiji cha Nangale wilaya ya Itilima.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe.Dkt.Medard Kalemani akizungumza na wannachi wa Wilaya ya Itilima wakati wa Uzinduzi waMradi wa Umeme Vijijini (REA) Awamu ya Tatu Mkoani Simiyu uliofanyika katika Kijiji cha Nangale wilaya ya Itilima.


Hivyo makala VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU

yaani makala yote VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/vijiji-347-kupata-umeme-wa-rea-awamu-ya_15.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "VIJIJI 347 KUPATA UMEME WA REA AWAMU YA TATU MKOANI SIMIYU"

Post a Comment