UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12

UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12 - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12
kiungo : UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12

soma pia


UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12

Harakati za ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Tse Tung uliopo Mpirani Kikwajuni Mjini Zanzibar zinaendelea karibu Miezi Miwili sasa chini ya Wahandisi wa Kampuni ya Kimataifa ya Zhengtai Group ya Jamuhuri ya Watu wa China.


Ujenzi huo unafuatia msada mkubwa ulioidhinishwa na Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China kwa Serikali ya Zanzibar katika azma ya kuimarisha uhusiano wa muda mrefu wa pande hizo mbili ukizingatia heshima uliopewa Uwanja huo wa kuitwa jina la Muasisiwa Taifa la China Hayati Mao Tse Tung.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alipata fursa ya kutembelea Uwanja huo kujionea harakati za ujenzi huo kazi ambayo inaonyesha mafanikio mazuri.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitembelea harakati za ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Mao Tse Tung uliopo Mpirani Kikwajuni Mjini Zanzibar. Kushoto ya Balozi Seif ni Waziri wa Hbari, Utamaduni, Utalii na Michezo Rashid Ali Juma.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Omar Hassan Omar akimuonyesha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif hayupo pichani ramani ya Uwanja wa Mao Tse Tung utakavyokuwa baada ya kukamilika kwake.
Balozi Seif katika picha ya pamoja na Uongozi wa ngzi ya juu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo pamoja na wahandisi wa nujenzi wa uwanja wa michezo wa Mao Tse Tung.


Balozi Seif akiagana na Mshauri wa Rais wa Zanzibar katika masuala ya Utamaduni Chimbeni Kheir baada ya kuangalia harakati za ujenzi wa uwanja wa michezo wa Mao hapo Mpirani Kikwajuni Mjini Zanzibar.  Picha na – OMPR – ZNZ.




Hivyo makala UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12

yaani makala yote UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/ujenzi-wa-uwanja-wa-mao-tse-tung.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG KUGHARIMU BILIONI 12"

Post a Comment