Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi

Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi
kiungo : Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi

soma pia


Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi

Rais John Magufuli amesema mwalimu mkuu atakayeruhusu mwanafunzi aliyejifungua kurudi shuleni kuendelea na masomo katika shule za Serikali, atafukuzwa kazi.

Rais ameyasema hayo leo (Jumanne, Julai 4) alipokuwa akihutubia wananchi wakati akizindua mradi wa maji Sengerema.

“Ni ukweli pia kuwa wanafunzi waliopata mimba hawarudishwi shuleni, kuna ujanja ujanja wa walimu, wanaandika cheti kuwa alikuwa amelazwa,” amesema na kuongeza:

“Nikimuona Headmaster, amerudisha mwanafunzi aliyepata mimba, kwenye shule za Serikali, yule mwalimu anaondoka.”

Rais amehoji: “Wote waliopata mimba wamebakwa?” Alihoji na kuendelea, “wanafanya mambo haya kwenye picha, wakipata mimba kwa namna hiyo arudi shule.”

Ameongeza: “Niwaombe wazazi wawachunge watoto, hizi mimba zinatokana na wazazi wetu ni lazima wazazi tujifunze kulea, tumechagua kueleza ukweli, tuambiane ukweli.


Hivyo makala Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi

yaani makala yote Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/rais-magufuli-mwalimu-atakaye-mrudisha.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Magufuli: Mwalimu Atakaye Mrudisha Mwanafunzi Aliyepata Mimba Ntamfukuza Kazi"

Post a Comment