title : NMB YATETA JAMBO NA WALIMU KATIKA SIKU YA WALIMU MKOA WA DAR ES SALAAM
kiungo : NMB YATETA JAMBO NA WALIMU KATIKA SIKU YA WALIMU MKOA WA DAR ES SALAAM
NMB YATETA JAMBO NA WALIMU KATIKA SIKU YA WALIMU MKOA WA DAR ES SALAAM
Meneja wa benki ya NMB kanda ya Dar es Salaam ,Vicky Bishibo akizungumza na walimu wakati wa mkutano wa siku ya walimu katika mkoa wa Dar es Salaam na benki hiyo uliofanyika mapema leo Sinza,jijini Dar.
Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini(TCU), Prof Eleuther Mwageni akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Walimu na Benki ya NMB wakati wa mkutano mkuu wa siku ya walimu na benki hiyo jijini Dar es Salaam leo. |
Mkurugenzi Mkuu wa wateja wadogo wadogo na wakati wa NMB,Abdulmajid Nsekela akizungumza na walimu juu ya huduma mpya za NMB ambazo zinaweza kuwasaidia katika kujiongeza kipato na kulea familia kwa uraisi.
Sehemu ya walimu walioshiriki mkutano huo ambao uliweza kuwakutanisha walimu kutoka Wilaya zote tatu za mkoa wa Dar es Salaam.
Hivyo makala NMB YATETA JAMBO NA WALIMU KATIKA SIKU YA WALIMU MKOA WA DAR ES SALAAM
yaani makala yote NMB YATETA JAMBO NA WALIMU KATIKA SIKU YA WALIMU MKOA WA DAR ES SALAAM Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala NMB YATETA JAMBO NA WALIMU KATIKA SIKU YA WALIMU MKOA WA DAR ES SALAAM mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/nmb-yateta-jambo-na-walimu-katika-siku.html
0 Response to "NMB YATETA JAMBO NA WALIMU KATIKA SIKU YA WALIMU MKOA WA DAR ES SALAAM"
Post a Comment