Matukio ya Picha Kisiwani Pemba

Matukio ya Picha Kisiwani Pemba - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio ya Picha Kisiwani Pemba, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio ya Picha Kisiwani Pemba
kiungo : Matukio ya Picha Kisiwani Pemba

soma pia


Matukio ya Picha Kisiwani Pemba

Msanii wa Uchoraji wa picha kisiwani Pemba Ndg. Abby akiwa katika kazi zake za uchoraji wa aina ya picha mbalimbali mjini Chakechake maeneo ya machomane kama alivyokutwa na mpiga picha wetu katika eneo hilo la kazi yake ili kuweza kujipatika kipato kupitia usanii huwa wa uchoraji
AFISA Mdhamini Wizara Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Pemba, Siahab Haji Vuai akizungumza na kamati za Uvuvi kutoka shehia tatu za Wilaya ya Mkoani, huko katika skuli ya Mohamed Juma Pindua
BAADHI ya Wafanya biashara wa mji wa Chake Chake, wameanza kuvunja mabanda yao ambayo walikuwa wakiyatumia katika kipindi cha Ramadhani na skukuu yake katika mji wa Chake Chake.(PICHA NA ABDI SUELIMAN, PEMBA).


Hivyo makala Matukio ya Picha Kisiwani Pemba

yaani makala yote Matukio ya Picha Kisiwani Pemba Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio ya Picha Kisiwani Pemba mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/matukio-ya-picha-kisiwani-pemba.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Matukio ya Picha Kisiwani Pemba"

Post a Comment