title : MASHABIKI WA MUZIKI WAZISUBIRI KOLABO MATATA ZA COKE STUDIO KWA SHAUKU
kiungo : MASHABIKI WA MUZIKI WAZISUBIRI KOLABO MATATA ZA COKE STUDIO KWA SHAUKU
MASHABIKI WA MUZIKI WAZISUBIRI KOLABO MATATA ZA COKE STUDIO KWA SHAUKU
Wakati uandaaji wa onyesho la muziki la Coca-Cola Coke Studio msimu wa tano unaendelea jijini Nairobi nchini Kenya linalojumisha kolabo za wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki wa nje, washabiki wa muziki nchini wamezisubiri kwa shauku kolabo hizo.
Burudani za onyesho hili ambalo limepata umaarufu mkubwa nchini kutokana na kufuatiliwa na wapenzi wengi wa muziki kupitia luninga litaanza kurushwa mapema mwezi Septemba.
Burudani za onyesho hili ambalo limepata umaarufu mkubwa nchini kutokana na kufuatiliwa na wapenzi wengi wa muziki kupitia luninga litaanza kurushwa mapema mwezi Septemba.
Kwa upande wa Tanzania wasanii ambao wako ndani ya nyumba ni Rayvanny, Izzo Bizness na Nandy.
Msanii Rayvanny (katikati) akiwa na wasanii wenzake wakifanya moja ya Mashup hivi karibuni
Mwanamuziki Izzo Business akiwa amepozi ndani ya studio jijini Nairobi
Baadhi ya wasanii nguli waliopo kwenye matayarisho ya Coke Studio msimu wa tano wakiwa katika picha ya pamoja jijini Nairobi hivi karibuni.
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
Hivyo makala MASHABIKI WA MUZIKI WAZISUBIRI KOLABO MATATA ZA COKE STUDIO KWA SHAUKU
yaani makala yote MASHABIKI WA MUZIKI WAZISUBIRI KOLABO MATATA ZA COKE STUDIO KWA SHAUKU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MASHABIKI WA MUZIKI WAZISUBIRI KOLABO MATATA ZA COKE STUDIO KWA SHAUKU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/mashabiki-wa-muziki-wazisubiri-kolabo.html
0 Response to "MASHABIKI WA MUZIKI WAZISUBIRI KOLABO MATATA ZA COKE STUDIO KWA SHAUKU"
Post a Comment