KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO

KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO
kiungo : KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO

soma pia


KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO

Katibu wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu , Seperatus Fella, akizungumza na wadau kutoka taasisi zinazojihusisha na kupambana na biashara hiyo waliokutana katika jijini Dar es Salaam leo, ili kujadili mikakati ya kutokomeza biashaara hiyo nchini. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Afisa uchunguzi Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu, Ahmed Mwendadi, akifafanua jambo kwa wadau kutoka Taasisi zinazopambana na biashara hiyo waliokutana jijini Dar es Salaam, ili kujadili mikakati ya kutokomeza biashaara hiyo. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Mkurugenzi Mtendaji wa ANPPCAN Tanzania, Wilbert Muchunguzi, akieleza jambo juu ya shughuli wanazofanya katika kupambana na Biashara Haramu ya Kuzuia Usafirishaji Binadamu nchini. Kushoto ni Katibu wa Kamati ya Kuzuia Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Seperatus Fella. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.


Hivyo makala KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO

yaani makala yote KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/kamati-ya-kuzuia-usafirishaji-haramu-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "KAMATI YA KUZUIA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU WAKUTANA NA WADAU KUJADILI NAMNA YA KUPAMBANA NA BIASHARA HIYO"

Post a Comment