Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu

Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu
kiungo : Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu

soma pia


Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu

 Baadhi ya Watu kutoka Oman, ambao walihudhuria Kongamano la Kiislamu  lililotayarishwa na Jumuiya ya Samael Academy , iliopo Gombani Pemba, inayohusiana na dhamira ya kuanzishwa kituo hicho Kisiwani humo.
 Baadhi ya Watu kutoka Oman, ambao walihudhuria Kongamano la Kiislamu  lililotayarishwa na Jumuiya ya Samael Academy , iliopo Gombani Pemba, inayohusiana na dhamira ya kuanzishwa kituo hicho Kisiwani humo.
  Baadhi ya Wanafunzi wa Madrasa ambazo , zimesajiliwa na taasisi hiyo ya Samael Academy , iliopo Gombani Pemba, wakishiriki katika mdahalo huo uliotayarisha na jumuiya hiyo.
  Baadhi ya Wanafunzi wa Madrasa ambazo , zimesajiliwa na taasisi hiyo ya Samael Academy, iliopo Gombani Pemba, wakishiriki katika mdahalo huo uliotayarisha na jumuiya hiyo.
 Muanzilishi wa Taasisi ya Samael Academy , iliopo Gombani Pemba, Sheikh Nasiri bin Said bin Ali, ( mwenye Joho) akizungumza na baadhi ya wageni waalikwa huko katika ukumbi wa Jumuiya hiyo Gombani Pemba.

 Baadhi ya Wanafunzi wanaolelewa na Taasisi ya Samael Academy , wakiwemo Mayatima ambao wanapatiwa huduma mbali mbali ikiwemo Elimu, wakijumuika na Watu mbali mbali  katika Kongamano la Kiislamu lililoandaliwa na Taasisi hiyo huko katika ukumbi wa Taasisi hiyo Gombani Pemba,


Sheikh   Jabir bin Mussa (Al-abry ) kutoka Oman , akizungumza na Waislamu waliohudhuria Kongamano hilo la Kiislamu lilioandaliwa na Taasisi ya Samael Academy , iliopo Gombani Pemba.

Picha na BAKAR MUSSA-PEMBA.


Hivyo makala Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu

yaani makala yote Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/jumuiya-ya-samail-yaandaa-kongamano-la.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Jumuiya ya Samail yaandaa kongamano la kiislamu"

Post a Comment