title : DC HOMERA ATOA MSAADA WA BATI 100 NA MIFUKO 100 YA SARUJI KWA SHULE MBILI ZA TUNDURU
kiungo : DC HOMERA ATOA MSAADA WA BATI 100 NA MIFUKO 100 YA SARUJI KWA SHULE MBILI ZA TUNDURU
DC HOMERA ATOA MSAADA WA BATI 100 NA MIFUKO 100 YA SARUJI KWA SHULE MBILI ZA TUNDURU
Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mhe. Juma Zuberi Homera ametoa msaada wa bati 100 na mifuko ya saruji 100 kwa shule ya msingi msinjili iliyopo kijiji cha msinjili kata ya Mlingoti magharibi Tarafa ya Mlingoti.
Dc Homera ameainisha matumizi ya msaada huo kama ifuatavyo, bati 25 na mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya msingi msinjili Iliyopo katika kijiji cha msinjili na Bati 60 pamoja na mifuko 50 ya saruji kwa ajili ya kuezeka nyumba za walimu wawili wa shule ya msingi mwangaza zilizoezekwa kwa nyasi, sambamba na hayo aliagiza madarasa katika shule hio zikarabatiwe.
Hivyo makala DC HOMERA ATOA MSAADA WA BATI 100 NA MIFUKO 100 YA SARUJI KWA SHULE MBILI ZA TUNDURU
yaani makala yote DC HOMERA ATOA MSAADA WA BATI 100 NA MIFUKO 100 YA SARUJI KWA SHULE MBILI ZA TUNDURU Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala DC HOMERA ATOA MSAADA WA BATI 100 NA MIFUKO 100 YA SARUJI KWA SHULE MBILI ZA TUNDURU mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/dc-homera-atoa-msaada-wa-bati-100-na.html
0 Response to "DC HOMERA ATOA MSAADA WA BATI 100 NA MIFUKO 100 YA SARUJI KWA SHULE MBILI ZA TUNDURU"
Post a Comment