BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF

BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF
kiungo : BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF

soma pia


BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF

Mwambawahabari

lp1
Balozi wa Tanzania Nchini Kenya Dr. Pindi Chana akipokea zawadi kutoka kwa mtumishi wa LAPF Simboninsia Ndosi  alipotembelea banda la LAPF katika maonyesho ya biashara ya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, kulia anayeshuhudia tukio hilo ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe

lp2
Balozi wa Tanzania Nchini Kenya Dr. Pindi Chana akisalimiana na  Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe alipotembelea banda la LAPF katika maonyesho ya biashara ya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam,
lp3
Balozi wa Tanzania Nchini Kenya Dr. Pindi Chana akisaini kitabu cha wageni  wakati alipotembelea banda la LAPF katika maonyesho ya biashara ya Sabasaba barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, kulia ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe 
lp4
Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya LAPF Prof. FAUSTINE BEE akipiga picha ya pamoja na wafanyakazi wa mfuko huo wakati alipotembelea  banda la mfuko wa Pensheni wa LAPF katika viwanja vya Sabasaba.
lp5
Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya LAPF Prof. FAUSTINE BEE akikikaribishwa na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe  wakati alipotembelea  banda la mfuko wa Pensheni wa LAPF katika viwanja vya Sabasaba kushoto ni Rehema Mkamba Afisa Mwandamizi wa Mawasiliano LAPF.
lp6
Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini ya LAPF Prof. FAUSTINE BEE akizungumza  na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa LAPF Bw. James Mlowe  wakati alipotembelea  bandahilo.
lp7
Mtumishi wa LAPF Philbert Francis akimkabidhi zawadi mmoja wa wanachama wa  LAPF alietembelea banda hilo.


Hivyo makala BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF

yaani makala yote BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/balozi-dk-pindi-chana-na-mwenyekiti-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "BALOZI DK. PINDI CHANA NA MWENYEKITI WA BODI YA LAPF WATEMBELEA BANDA LA LAPF"

Post a Comment