Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar.

Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar.
kiungo : Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar.

soma pia


Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar.






Na: Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.
Familia ya beki wa kimataifa wa Ufaransa, Mamadou Sakho anayechezea Liverpool ya England jana jioni  ametembelea kituo cha kulelea watoto yatima cha SOS kilichopo Mombasa Unguja.

Sakho amefatana na mke wake Madna na Watoto wake wawili wa kike.
Jana Ijumaa saa 3:00 za usiku katika uwanja wa Amaan Sakho amezindua Mashindano ya COCO SPORTS NDONDO CUP katika uwanja wa Amaan, mchezo ambao Taifa ya Jang’ombe walifungwa 2-1 na Mlandege SC.

Sakho yupo hapa Viswani Zanzibar tangu Jumamosi June 17, 2017 kwa ziara ya kiutalii ambapo awali ziara hiyo alianzia Tanzania bara kisha kurejea nyumbani Ufaransa na badae moja kwa moja Jumamosi kufika hapa Zenj.


Hivyo makala Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar.

yaani makala yote Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/sakho-wa-timu-ya-liverpool-atembelea.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Sakho wa Timu ya Liverpool Atembelea Kituo cha Watoto Yatima cha SOS Zanzibar."

Post a Comment