RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA.

RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA.
kiungo : RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA.

soma pia


RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA.

Na Tiganya Vincent-RS-Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bw. Aggrey Mwanri amuagiza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge kushirikana na Kampuni zenye leseni ya uchimbaji madini ya dhahabu kuhakikisha wachimbaji wadogo wadogo na wafanyabiashara waliopo eneo la machimbo ya dhahabu ya Kitunda wanapatiwa vitambulisho kwa ajili ya kuimarisha usalama na utambuzi wao wakati wakifanya shughuli hiyo.

Bw. Mwanri alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akizungumza na Watendaji wa Halmashauri ya Sikonge na viongozi wa Kampuni zote zilizopewa leseni ya uchimbaji madini ya dhahabu katika eneo la Kitunda.

Alisema kuwa hatua hiyo inalenga kuwatambua wachimbaji wadogo wadogo na wafanyabiashara  wote walioajiriwa na wale waliojiajiri  ili kuepuka mgongano ambayo umekuwa ukijitokeza kwa baadhi ya wachimbaji wadogo wadogo kuvamia machimbo ya wenzao wanaposikia yana dhahabu na hivyo kusababisha mrundikano wa watu wengi katika shimo moja na kuhatarisha usalama wao.

Mkuu huyo wa Mkoa aliongeza kuwa vitambulisho hivyo pia vitasaidia kuwatambua wachimbaji wadogo wadogo wa Kampuni moja na nyingine  ili kuepuka vurugu.

Alisema kuwa kabla ya zoezi hilo kufanyika ni vema uongozi wa Halmashauri na Kampuni zote uwe na taarifa sahihi za mhusika ikiwa ni pamoja na mahali alipozaliwa na uraia wake ili kuepuka kutoa ajira kwa wageni badala wachimbaji wadogo wadogo wa Kitanzania.

Bw. Mwanri alisema mtu asianze kazi za uchimbaji kabla ya kusajiliwa katika daftari kubwa na lile na mitaa ili Serikali ijue ni nani waliopo hapo na wanatoka wapi katika nchi hii ya Tanzania.


Hivyo makala RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA.

yaani makala yote RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/rc-tabora-asisitiza-vitambulisho-kwa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RC TABORA ASISITIZA VITAMBULISHO KWA WATU WOTE WALIOPO KATIKA ENEO LA MACHIMBO YA KITUNDA."

Post a Comment