title : Polisi Mwanza wamtia mbaroni mtu mmoja kwa kosa la kumwua mtoto wake
kiungo : Polisi Mwanza wamtia mbaroni mtu mmoja kwa kosa la kumwua mtoto wake
Polisi Mwanza wamtia mbaroni mtu mmoja kwa kosa la kumwua mtoto wake
Imeelezwa kuwa mtuhumiwa alikuwa akiishi na watoto wake kutokana na kutengana na mke wake kwa muda mrefu.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, Ahmed Msangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa baada ya upelelezi kukamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani.
Baadhi ya wananchi wamelaani tukio hilo na kuliomba Jeshi la Polisi kumchukulia hatua kali za kisheria mtu huyo.
Hivyo makala Polisi Mwanza wamtia mbaroni mtu mmoja kwa kosa la kumwua mtoto wake
yaani makala yote Polisi Mwanza wamtia mbaroni mtu mmoja kwa kosa la kumwua mtoto wake Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Polisi Mwanza wamtia mbaroni mtu mmoja kwa kosa la kumwua mtoto wake mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/polisi-mwanza-wamtia-mbaroni-mtu-mmoja.html
0 Response to "Polisi Mwanza wamtia mbaroni mtu mmoja kwa kosa la kumwua mtoto wake"
Post a Comment