NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI

NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI
kiungo : NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI

soma pia


NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI

Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii asubuhi hii inaeleza kuwa, Rais wa Shirikisho la Soka nchini, Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wake, Selestine Mwesigwa wanashikirikia na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) na wapo katika Kituo cha Polisi Salander Bridge ili kupisha uchunguzi dhidi yao. hilo limethibitisha na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Takukuru, Mussa Misalaba alipokuwa akihojiwa na kituo cha Radio EFM leo. Misalaba amesema ni kweli wanawashikilia na taarifa zaidi wataitoa baada ya kumaliza uchunguzi wao, kwa sasa ifahamike kuwa viongozi hao wanawashikilia.


Hivyo makala NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI

yaani makala yote NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/news-alert-rais-wa-tff-na-katibu-wake.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "NEWS ALERT: RAIS WA TFF NA KATIBU WAKE WATIWA MBARONI"

Post a Comment