CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA.

CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA.
kiungo : CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA.

soma pia


CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA.

Mwambawahabari  





Na Maria Kaira, mwambawahabari
Katibu  wa CCM  mkoa wa Dar es salaam Saddy Kusilawe amemuomba Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania John Magufuli kuwachukulia hatua viongozi wote walioshiriki kuhujumu rasilimali za nchi kwa kusafirisha makontena ya mchanga wa dhahabu  ikiwa ni pamoja na kutaifisha mali zao.
 
Kauli hiyo imetolewa leo  kwenye kikao cha chama cha wilaya ya ubungo cha kumpongeza Rais  Magufuli kwa shughuli anazofanya  za kujenga nchi pamoja na kuwapigani wanyonge ikiwa ni lengo la  kutekeleza ilani ya chama  hicho.

"Lazima tuseme basi kwa kilichotokea na tulaani kitendo hiki, cha mafisadi wanaoshirikiana na watu wanaotoka nje ya nchi kuuza madini  kinyemela bila kwa kuangalia masilahi  ya nchi" alisema Kusilawe

Pia amesema anamuomba Rais  Magufuli kuwachukulia maamuzi magumu ya  kisheria viongozi wote walioshiriki kuhujumu rasilimali za watanzania za kusafirisha makontena ya mchanga wa dhahabu ili waweze kutambua kitu walichokifanya akiendani na taifa pamoja na watanzania kwa ujumla.

"Naraani kitendo kinachofanywa na baadhi ya watanzania wanaopinga hatua iliyochukuliwa na rais,hili nijambo zuri na  watanzania tuungane kumuunga mkono rais kwa hatua aliyoichukua ya kupambana dhidi ya watanzania , watanzania tunatakiwa kitu kimoja tusiposhikamana kwenye vita hii tutashindwa kutekeleza maendeleo ya taifa" alisema

Kwa upande wa katibu wa CCM wilaya ya Ubungo Salumu Abdalla amesema anamuomba rais Magufuli kuhakikisha anawachukulia hatua za kisheria na zakinizamu  viongozi wote waliohusika kuhujumu rasilimali za watanzania kwa kuwaondoa katika nafasi zao pamoja na kutaifishwa mali zao.

"Hatuwezi kuvumilia vitendo hivi ma milioni ya fedha yameenda nje bila utaratibu huku watanzania wanyonge wakibaki wanataabika bila sababu yoyote lazima tumuunge mkono mhe. Rais kwa hatua aliyochukua ni nzuri, wanachama wa wilaya ya ubungo sisis tunamuunga mkono rais" alisema


Aidha ametoa rai kwa rais John Magufuli kuendelea na kasi aliyoanza nayo ya kulitetea taifa ili kuweza kuwatetea wanyonge ikiwa na lengo la kutekeleza ilani ya chama hicho.

Hata hivyo Mwenyekiti wa CCM kata ya Ubungo Alhaj Marussu amesema anakiomba chama hicho kuwafukuza uwanachama  viongozi wote wanaotuhumiwa kuhujumu rasilimali za watanzania ili waweze kuhojiwa vizuri.

"Chama chetu kinaitaji viongozi walio wasafi wanaokuwa na uchungu na watanzania wenzao, lazima sheria ichukue mkondo wake kwa watuhumiwa hao" alisema

Pia amewaom ba wanasheria kukaaa kwa pamoja na kujadili nini kifanyeke juu ya jambo hilo.



Hivyo makala CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA.

yaani makala yote CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/ccm-wilaya-ya-ubungo-inamuomba-rais.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "CCM WILAYA YA UBUNGO INAMUOMBA RAIS MAGUFULI KUWACHUKULIA HATUA VIONGOZI WALIOHUJUMU RASILIMALI ZA TAIFA."

Post a Comment