BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI

BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI
kiungo : BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI

soma pia


BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI

 Na Rhoda Ezekiel Kigoma, 

BARAZA la madiwani halmashauri ya Wilayani Buhigwe limemuondoa rasmi Madarakani aliekuwa Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Elisha Bagwanya kufuatia kuthibitishwa kwa tuhuma mbili kati ya saba zilizokuwa zimewasilishwa kwa tume hiyo zikimkabili Mwenyekiti huyo, moja ikiwa ni kutumia vibaya madaraka na kuisababishia hasara halmashauri .

Uamuzi huo umetolewa leo katika viwanja vya Shule ya msingi Buhigwe mara baada ya madiwani wa baraza hilo kupiga kura ya ndio kuunga mkono taarifa ya kamati ya Mkuu wa Mkoa kigoma Brigedia Jeneral Emanuel Maganga, iliyokuwa imebaini ukweli wa tuhuma mbili kati ya saba zilizo wasilishwa na madiwani hao na kumtaka mkurugenzi na Baraza kumuondoa Mwenyekiti huyo.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Anosta Nyamoga, alithibutisha kumuondoa mwenywkiti huyo kwa kutangaza matokeo ya kura 20 za ndio na saba za hapana zilizo pigwa na Madiwani wa Halmashauri hiyo .

Nyamoga alisema mnamo tarehe 25 machi alipokea barua kutoka kwa madiwani 20 wa halmashauri hiyo ya kutokuwa na imani na mwenyekiti wa halmashauri na kwa mujibu wa kanuni Na 4(3) ya kanuni za kudumu za Halmashauri,  wajumbe wa Mkutano wasiopungua theluthi mbili wanaweza kuomba kuitishwa kwa mkutano kwa lengo la kujadili agenda ya kumuondoa madarakani mwenyekiti wa halmashauri kutokana na sababu zinazotajwa.

Alisema tume ya mkuu wa mkoa baada ya kupitia tuhuma zote saba zilizotajwa katika barua hiyo ilibaini tuhuma mbili ni za ukweli na zinamnyima Mwenyekiti huyo sifa za kuwa kiongozi, tuhuma hizo ni pamoja na kufanya kazi ya ukandarasi na halmashauri kwa kutumia kampuni yake inayoitwa BUYENZI GENERAL SUPPLIES kwa kazi ya mradi wa maji Nyamugali ambao ni mbovu ,mradi wa Barabara ya Kijiji cha Kigogwe Mrungu,kujenga mradi huo kwa kutumia kampuni ya NGELUKE CONSTRUCTIONS kwa kutumia uwezo wake kama mwenyekiti wa halmashauri na kuzuia miradi hiyo isikaguliwe.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Elisha Bagwanya alievaa suti ya rangi ya Blue 
Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya  ya Buhigwe Anosta Nyamoga akiwasilisha taarifa ya tume ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma dhidi ya Mwenyekiti wa halmashauri hiyo

Baadhi ya Madiwani.




Hivyo makala BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI

yaani makala yote BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/baraza-la-madiwani-wilayani-buhigwe.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "BARAZA LA MADIWANI WILAYANI BUHIGWE LAMWONDOA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO KWA TUHUMA MBALIMBALI ZINAZOMKABIRI"

Post a Comment