title : Kamanda wa kikosi cha Trafiki mkoa wa Dar es salaaam mubashara na "Mshikaki" wa wanafunzi
kiungo : Kamanda wa kikosi cha Trafiki mkoa wa Dar es salaaam mubashara na "Mshikaki" wa wanafunzi
Kamanda wa kikosi cha Trafiki mkoa wa Dar es salaaam mubashara na "Mshikaki" wa wanafunzi
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Dar es salaam Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Awadhi Haji akimhoji dereva wa bodaboda alipokuwa amewabeba watoto wa shule watatu,huku akijua kufanya hivyo ni kosa. Dereva huyo alikamatwa leo asubuhi maeneo ya Mbezi Makonde jijini Dar es salaam. Watanzania tuungane pamoja tupunguze ajali na kuokoa maisha ya watoto wetu wa shule na raia wengine, kwa kweli....Hii haikubaliki!
Hivyo makala Kamanda wa kikosi cha Trafiki mkoa wa Dar es salaaam mubashara na "Mshikaki" wa wanafunzi
yaani makala yote Kamanda wa kikosi cha Trafiki mkoa wa Dar es salaaam mubashara na "Mshikaki" wa wanafunzi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Kamanda wa kikosi cha Trafiki mkoa wa Dar es salaaam mubashara na "Mshikaki" wa wanafunzi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/kamanda-wa-kikosi-cha-trafiki-mkoa-wa.html
0 Response to "Kamanda wa kikosi cha Trafiki mkoa wa Dar es salaaam mubashara na "Mshikaki" wa wanafunzi"
Post a Comment