JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI

JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI
kiungo : JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI

soma pia


JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI



Naibu Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo amewapongeza viongozi wote pamoja na wananchi wa wilaya ya kisarawe katika ujenzi wa zahanati Mpya 11 pamoja na wodi 2 za wazazi.

Jafo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Kisarawe alitoa pongezi hizo alipokuwa akifanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo jimboni Kisarawe.

Ujenzi huo unafanyika kupitia fedha za mfuko wa jimbo ambazo zimetumika kununua saruji na mabati na pia  fedha kutoka Halmashauri ya wilaya ya kisarawe na michango ya wananchi.

Akiweka jiwe la msingi katika ujenzi wa zahanati ya visiga, Jafo alipongeza wananchi wa visiga kwa kuunga mkono juhudi ya serikali ya awamu ya tano katika kujileta maendeleo.Aliwaomba viongozi wote waendelee na moyo huo huo wa mshikamano ili kufanikisha utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2015.

Katika hatua nyingine, Wananchi wa Tarafa ya Chole wilayani Kisarawe wameishukuru serikali ya awamu ya tano baada ya Mbunge wa jimbo la Kisarawe na Naibu Waziri wa Nchi  Ofisi ya Rais Tamisemi kukabidhi gari la wagonjwa aina ya Toyota Landcruiser kwa Kituo cha Afya chole.
FO1
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akizungumza na wananchi wa Tarafa ya Chole katika kituo cha Afya Chole. 
FO2
Gari la wagonjwa lilokabidhiwa katika Kituo cha Afya cha Chole
FO3
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na wataalam wa Kituo cha Afya Chole pamoja na viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mara baada ya Kukabidhi gari la wagonjwa.
FO4
Jengo la Zahanati ya Visiga.



Hivyo makala JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI

yaani makala yote JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/jafo-apongeza-ushirikiano-uliopo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "JAFO APONGEZA USHIRIKIANO ULIOPO KISARAWE KATIKA UJENZI WA ZAHANATI"

Post a Comment