title : Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo
kiungo : Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amefariki dunia leo saa nne asubuhi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)
Mdogo wa marehemu, Shaibu Mwambungu amesema kaka yake alifariki dunia leo asubuhi baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa hospitalini hapo.
Shaib amesema taratibu za mazishi zitatolewa baadaye ambapo kwa sasa anajiandaa kusafiri kutoka Songea kuja jijini Dar es salam kwa ajili ya mazishi.
Hivyo makala Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo
yaani makala yote Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/aliyewahi-kuwa-mkuu-wa-mkoa-wa-ruvuma.html
0 Response to "Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo"
Post a Comment