Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017

Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017 - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017
kiungo : Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017

soma pia


Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017

Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA) Hayati Dkt.  Elly Macha unatarajiwa kuwasili nchini Aprili 20 mwaka huu ukitokea nchini Uingereza.


Dk Macha alifariki dunia Machi 31 mwaka huu katika Hospitali ya New Cross, Wolverhampton nchini Uingereza alikokuwa akitibiwa.

Akitoa ratiba ya msiba huo leo bungeni, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alisema taratibu zote za nchi i Uingereza za kurudisha mwili wa Mbunge huo zimekamilika.

“Kule kuna taratibu nyingi za kisheria na kadhalika haikuwa rahisi kuharakisha mchakato huo. Tunashukuru ubalozi wetu wa nchini humo umeweza kufanikisha jambo hili,”amesema

Ndugai amesema mwili wake utawasili Alhamis ya wiki ijayo katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere April 20, mwaka huu saa tisa mchana.


Hivyo makala Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017

yaani makala yote Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/04/mwili-wa-mbunge-wa-viti-maalumu-chadema.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Mwili wa Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Hayati Dkt. Elly Macha kuwasili Dar es salaam April 20, 2017"

Post a Comment