title : KUELEKEA KUIVAA AZAM FC NUSU FAINALI YA FA,SIMBA FULL KUJIAMINI NA ULINZI WAIMARISHWA KAMBI YA MORO
kiungo : KUELEKEA KUIVAA AZAM FC NUSU FAINALI YA FA,SIMBA FULL KUJIAMINI NA ULINZI WAIMARISHWA KAMBI YA MORO
KUELEKEA KUIVAA AZAM FC NUSU FAINALI YA FA,SIMBA FULL KUJIAMINI NA ULINZI WAIMARISHWA KAMBI YA MORO
Kikosi cha Simba chini ya kocha wake, Joseph Omog kimeendelea na mazoezi mjini Morogoro kujiandaa na mechi yao ya keshokutwa ya Kombe la Shirikisho jijini Dar es Salaam.
Simba itakuwa mwenyeji wa Azam FC kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi inayotarajiwa kuwa ngumu.
Mratibu wa Simba, Abbas Ally ‘Gazza’, amesema wanaendelea na maandalizi vizuri na uongozi unatimiza majukumu yake kuhakikisha vijana wanafanya vizuri.
“Kila kitu kinakwenda vizuri, kila kitu kipo kamili na hakika vijana wanajituma kweli. Lengo ni kufanya vizuri katika mechi hiyo,” alisema.
“Kila mmoja wetu anajua ni mechi ngumu na muhimu, hivyo kikubwa ni kuendelea kujituma kwa juhudi zaidi.”
Hivyo makala KUELEKEA KUIVAA AZAM FC NUSU FAINALI YA FA,SIMBA FULL KUJIAMINI NA ULINZI WAIMARISHWA KAMBI YA MORO
yaani makala yote KUELEKEA KUIVAA AZAM FC NUSU FAINALI YA FA,SIMBA FULL KUJIAMINI NA ULINZI WAIMARISHWA KAMBI YA MORO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KUELEKEA KUIVAA AZAM FC NUSU FAINALI YA FA,SIMBA FULL KUJIAMINI NA ULINZI WAIMARISHWA KAMBI YA MORO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/04/kuelekea-kuivaa-azam-fc-nusu-fainali-ya.html
0 Response to "KUELEKEA KUIVAA AZAM FC NUSU FAINALI YA FA,SIMBA FULL KUJIAMINI NA ULINZI WAIMARISHWA KAMBI YA MORO"
Post a Comment