Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbukiungo :
Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu
Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Dkt. Asha Rose Migiro leo aliandaa hafla fupi katika makazi ya Balozi kumpongeza kijana mtanzania Alphonse Simbu Kwa kushika nafasi ya tano katika mbio za "London Marathon" zilizofanyika tarehe 23 Aprili 2017 jijijini London.
Katika salamu zake, Balozi Migiro alimpongeza Bw. Simbu kwa heshima aliyoipa Tanzania jijini London na Duniani kupitia mbio za London. alimsihi atumie matokeo hayo kama hamasa ya kufanya bidii zaidi kwa ajili ya mashindano ya mbio ndefu anayotarajiwa kushiriki baadae mwakani.
Simbu alimshukuru Balozi Migiro Kwa ushirikiano mkubwa wa kibalozi alioupata akiwa jijini London.Alimkabidhi Balozi Fulana ya kumbukumbu ya ushiriki wake kwenye mbio hizo.
Pichani Balozi Asha Rose Migiro akipokea Fulana hiyo.
Hivyo makala Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu
yaani makala yote Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/04/balozi-asha-rose-migiro-ampongeza.html
Related Posts :
Matukio : Makamu wa Rais, Mhe. Samia Afungua Semina kwa Wastaafu Watarajiwa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Semina kwa wastaafu watarajiwa… Read More...
Matukio : Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa Aagiza Kilosa wailipe Gairo Deni lao
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Bi. Seriel Mchembe mara baada ya kuwasili wilayani humo (Juni 3, 2017)… Read More...
Uchumi : Naibu Waziri, Mavunde afungua mpango wa Ufundi wa kisasa wa Kutengeneza Bidhaa za Ngozi,Jijini Mwanza
Naibu waziri ofisi ya Waziri Mkuu anaeshughulikia kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe Anthony Mavunde amefungua mpango wa mafunzo ya… Read More...
WASTAAFU PSPF MWAKA 2017/18 "KULAMBA" SHILINGI TRILIONI 1.3 ZA MAFAO
NA K-VIS BLOG/Khalfan Said
Katika hotuba yake aliyotoa Kati wa ufunguzi rasmi wa semina hiyo, Bw. Mayingu alisema, PSPF inatarajia k… Read More...
Habari : Pitia hapa Vichwa vya Habari vya Magazeti ya Leo, 04:06:2017
Wazalendo 25 Blog , is a Social Media which gives our Audience current News, Entertainment and Adver… Read More...
0 Response to "Balozi Asha Rose Migiro ampongeza Mwanariadha Alphonse Simbu"
Post a Comment