WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30

WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30 - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30
kiungo : WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30

soma pia


WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30

Wilaya za kilosa na mvomero mkoani morogoro zimefanikiwa kupunguza changamoto kubwa ya upotevu wa mazao ya mpunga mashambani kutoka asilimia 45 zilizokuwepo kufikia asilimia 30 jambo ambalo litawanufaisha wakulima wanaojihusisha na kilimo cha zao hilo.

Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa mradi wa kuwezesha makundi ya wanawake na vijana wanaojihusisha na kilimo cha mpunga kupunguza upotevu wa mpunga kabla na baada ya mavuno (ripoma) ulio chini ya shirika la elvetas tanzania, daniel kalimbiya ambaye amebainisha wameweza kudhibiti tatizo hilo kwa kuhakikisha wakulima wanapata mbegu bora, wanalima na kuvuna kisasa na kuhifadhi mazao yao kwenye maghala bora waliyojenga.

“wakulima walikuwa na changamoto kubwa hasa kwenye uzalishaji na kutunza mazao, hivi sasa upotevu wa mazao umepungua kutoka asilimia 45 hadi asilimia 30 huku pia tumefanikisha kuwafahamisha namna bora ya kutunza mazao kwa ubora Zaidi, amesema kalimbiya

Mkuu wa wilaya ya kilosa adam mgoyi akawasisitiza maafisa kilimo na mkurugenzi mtendaji wa wilaya hiyo kusimamia vyema miradi yenye tija kwa wananchi kama ilivyo kwa mradin huo ili kuwa na muendelezo hata baada ya kumalizika ili ulete tija na mabadiliko kwa wakulima wa wilaya hiyo.

“ningependa kuwashauri wataalam kutoka halmashauri tuwe na mwenendo mzuri wa kushiriki katika kutunza na kufahamisha miradi yenye tija kama hii na tunatakiwa kuongeza umakini katika usimamizi hasa usimamizi mara baada ya kumalizika kwa mradi” amesema Mgoyi

meneja wa ripoma greyson regemalila akasema licha ya kudhibiti upotevu, kwa kushirikiana na mamlaka ya chakula na dawa tfda na shirika la viwango vya ubora nchini tbs wame7ongeza thamani ya mazao ya wakulima na kutoa msimbo milia yaani barcode kwa baadhi yao ili kuongeza thamani ya mazao kuuzwa ndani na nje ya nchi.





Hivyo makala WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30

yaani makala yote WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/04/wilaya-ya-kilosa-yaepukana-na-upotevu.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WILAYA YA KILOSA YAEPUKANA NA UPOTEVU WA ZAO LA MPUNGA KUTOKA ASILIMIA 45 HADI 30"

Post a Comment