title : IGP SIRRO AAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA KENYA KWENYE MASUALA YA USALAMA
kiungo : IGP SIRRO AAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA KENYA KWENYE MASUALA YA USALAMA
IGP SIRRO AAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA KENYA KWENYE MASUALA YA USALAMA
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro akisalimiana na balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan kazungu leo wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo kwa lengo la kujitambulisha ambapo kwa pamoja wamekubaliana kuendelea kushirikiana kwenye masuala ya kiusalama baina ya nchi hizo mbili. Picha na Jeshi la Polisi
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akimsikiliza Balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu leo tarehe 15/03/2019, wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujitambulisha ambapo kwa pamoja wamekubaliana kuendelea kushirikiana kwenye masuala ya kiusalama baina ya nchi hizo mbili.Picha na Jeshi la Polisi
Hivyo makala IGP SIRRO AAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA KENYA KWENYE MASUALA YA USALAMA
yaani makala yote IGP SIRRO AAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA KENYA KWENYE MASUALA YA USALAMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala IGP SIRRO AAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA KENYA KWENYE MASUALA YA USALAMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/03/igp-sirro-aahidi-kuendelea-kushirikiana.html
0 Response to "IGP SIRRO AAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA KENYA KWENYE MASUALA YA USALAMA"
Post a Comment