Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA

Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA
kiungo : Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA

soma pia


Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA

 Wananchi wameshauriwa kutokukaa kimya  pindi wanapopokea ujumbe wa matapeli bali waripoti Polisi  namba iliyokutuma ujumbe huo ili jeshi hilo  ilifanyie kazi.

Ushauri huo umetolewa na mkuu wa kitengo cha makosa ya kimtandao mkoa wa Arusha Inspekta Aman Ngaleni alipokuwa akitoa elimu kwa wananchi waliohudhuria  Kampeni ya Mnada Kwa Mnada, karibu Tukuhudumie inayoendeshwa kwa ushirikiano kati ya Mamlaka ya Mawasiliano TCRA, Jeshi la Polisi kitengo cha uhalifu mitandaoni, makampuni ya siku ya Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel na TTCL.

Kampeni hiyo imefanyika Februari 20, 2019 katika viwanja vya stendi ya Kilombero, jijini Arusha.
 Wananchi  wakipata huduma katika kampeni ya Mnada kwa Mnada katika Stendi ya Kilombelo Jijini Arusha ikiwa kampeni ya TCRA kuelimisha wananchi kuhusiana na huduma za mawasiliano zinazotolewa na wadau mbalimbali.
 Wadau wakijadiliana masuala ya Mawasiliano katika kampeni ya Mnada kwa Mnada katika stendi ya Kilombelo Jijini Arusha.
Mwananchi akisoma jarida la Kituo cha Daladala cha Kilombelo Jijini Arusha katika  Kampeni  ya Mnada kwa Mnada  inayoendeshwa na Mamlaka ya Makatika St kuelimisha mawasiliano (TCRA).


Hivyo makala Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA

yaani makala yote Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/02/wananchi-waaswa-kutoa-taarifa-polisi.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Wananchi waaswa kutoa taarifa Polisi wanapopata ujumbe wa matapeli-TCRA"

Post a Comment