WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII

WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII
kiungo : WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII

soma pia


WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII

  Na Ripota Wetu,Globu ya jamii

MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro Rosemary Staki Senyamule,  amehimiza matumizi mazuri ya mafunzo ya Jeshi la Akiba kwa wahitimu wa mafunzo hayo kwa kuwataka kuwa mfano wa kuigwa ndani ya jamii.

Ametoa kauli hiyo wakati wa kufunga mafunzo ya Jeshi la Akiba wilayani Same ambapo pia amewasisitiza waliohitimu mafunzo hayo kuwa mfano wa kuigwa katika jamii na kufanyakazi kwa kujitolea.

Mkuu wa Wilaya huyo amewahakikishia waliohitimu mafunzo hayo kupewa kipaumbele usaili JKT na ajira wakiwa na sifa. 

Pia amewaagiza kukomesha biashara ya mirungi na vibaka Makanya. "Hakikisheni kupitia mafunzo ambayo mmeyapata na kuzuia biashara ya mirungi."

Katika mafunzo hayo jumla ya wahitimu 108 wapata vitambulisho. Wananchi wametumia nafasi hiyo kupongeza utendaji kazi wa Rais Dk.John Magufuli kwani Makanya wana mradi wa maji unaendelea, waahidiwa fedha kuanza kidato cha tano. 
 Wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Akiba wakila kiapo cha utii mbele ya Mkuu wa Wilaya Mh.Rosemary Staki Senyamule (hayupo pichani).
 Picha ya pamoja

 
 Mkuu wa Wilaya Mh.Rosemary Staki Senyamule Wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Akiba wakiwa katika picha ya pamoja.



Hivyo makala WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII

yaani makala yote WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/waliohitimu-mafunzo-ya-jeshi-la-akiba.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WALIOHITIMU MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA SAME WATAKIWA KUWA MFANO WA KUIGWA KATIKA JAMII"

Post a Comment