title : Tanzania kufaidika na mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na Jinsia
kiungo : Tanzania kufaidika na mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na Jinsia
Tanzania kufaidika na mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na Jinsia
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt. Albina Chuwa akizungumza na Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake cha Umoja wa Mataifa (UN Women) kwa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Bi. Izeduwa Derex-Briggs juu ya mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na jinsia Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt. Albina Chuwa akifafanaua jambo kwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake cha Umoja wa Mataifa (UN Women) kwa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Bi. Izeduwa Derex-Briggs(kulia kwake ) na Mwakilishi wa Shirika la Wanawake la Umoja wa Mataifa (UN WOMEN) Bi. Hodan Addou(wa Tatu kulia) juu ya mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na jinsia Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt. Albina Chuwa akiongoza kikao cha kujadili juu ya mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na jinsia.Kikao hicho kimeudhuriwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake cha Umoja wa Mataifa (UN Women) kwa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Bi. Izeduwa Derex-Briggs(kulia kwake ) na Mwakilishi wa Shirika la Wanawake la Umoja wa Mataifa (UN WOMEN) Bi. Hodan Addou.Mradi huo wa miaka mitatu ambapo Tanzania itapata bilioni mbili ili kuzalisha takwimu zinazohusiana na jinsia.
Wajumbe kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wakifuatilia kikao kati yao na Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake cha Umoja wa Mataifa (UN Women) kwa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Bi. Izeduwa Derex-Briggs(kulia kwake ) na Mwakilishi wa Shirika la Wanawake la Umoja wa Mataifa (UN WOMEN) Bi. Hodan Addou ) juu ya mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na jinsia leo Jijini Dodoma.
Wajumbe kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) wakifuatilia kikao kati yao na Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake cha Umoja wa Mataifa (UN Women) kwa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika, Bi. Izeduwa Derex-Briggs(kulia kwake ) na Mwakilishi wa Shirika la Wanawake la Umoja wa Mataifa (UN WOMEN) Bi. Hodan Addou ) juu ya mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na jinsia leo Jijini Dodoma. Picha zote na DAUDI MANONGI, DODOMA
Hivyo makala Tanzania kufaidika na mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na Jinsia
yaani makala yote Tanzania kufaidika na mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na Jinsia Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Tanzania kufaidika na mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na Jinsia mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/tanzania-kufaidika-na-mradi-wa.html
0 Response to "Tanzania kufaidika na mradi wa kuzalisha takwimu zinazohusiana na Jinsia"
Post a Comment