title : TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI
kiungo : TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI
TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI
Baadhi ya Wauguzi kutoka hospital mbalimbali nchini wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam. Warsha hiyo ilioendeshwa na Taasisi ya Doris Mollel iliyojikitaka katika kusaidia wakinamama na watoto njiti nchini.
Muuguzi Selina Pemba kutoka Mkoani Shinyanga akitoa somo kwa Wauguzi wenzake namna wanavyotakiwa kuwaelekeza wazazi ubebaji wa mtoto akiwa mdogo, wakati wa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam.
Muuguzi Bridgiter Cheyo kutoka Mkoani Pwani, akionyesha namna ya kumfunga Mama anayekuwa amemuweka Mtoto kifuani wakati wa Kangaroo.
Muuguzi Cleopatra Mtei kutoka hospitali ya Taifa Muhimbili ambaye ndiye aliyekuwa akiongoza Mafunzo hayo, akizungumza jambo wakati wa warsha ya kuelimishana namna ya kuwasaidia wakina mama wanaojifungua watoto kabla ya wakati (Watoto Njiti) hasa katika kipindi cha kumuwezesha mtoto kupata joto lake (Kangaroo), iliyofanyika hivi karibuni jijiji Dar es salaam.
Hivyo makala TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI
yaani makala yote TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/taasisi-ya-doris-mollel-yaendesha.html
0 Response to "TAASISI YA DORIS MOLLEL YAENDESHA MAFUNZO YA 'KANGAROO' KWA WAUGUZI NCHINI"
Post a Comment