RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
kiungo : RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

soma pia


RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha mjadala na wadau wa madini nchini  wakati wa  Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto kwake ni Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne Januari 22, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo.
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Wadogo wa Madini (FEMATA) Bw. John Bina  akisoma risala yake katika Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na wadau wa Madini baada ya kuhudhuria na kuhutubia Mkutano Mkuu wa Kisekta wa Wizara ya Madini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam leo Jumanne JanuarI 22, 2019
Picha na Ikulu.


Hivyo makala RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO

yaani makala yote RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/rais-dkt-magufuli-ahudhuria-mkutano.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA KISEKTA WA WIZARA YA MADINI JIJINI DAR ES SALAAM LEO"

Post a Comment