FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA.

FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA.
kiungo : FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA.

soma pia


FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA.

 
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limetangaza kumfungia Michael Wambura maisha.Kifungo hicho kinamfanya Wambura kutojihusisha na soka maisha.

Michael Wambura alichaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka nchini TFF katika uchaguzi mkuu wa mwezi Julai mwaka 2017, kabla ya kufungiwa na shirikisho hilo mwaka uliopita kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha.

Alikata rufaa Mahakamani, ambapo Mahakama iliamuru kurejeshwa katika nafasi yake mwishoni mwa mwaka uliopita lakini TFF ilikata rufaa FIFA.

Advertisement


Hivyo makala FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA.

yaani makala yote FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2019/01/fifa-yamtia-kifungo-michael-wambura.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "FIFA YAMTIA KIFUNGO MICHAEL WAMBURA KUJIHUSISHA NA SOKA."

Post a Comment