Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu

Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu
kiungo : Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu

soma pia


Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu

Serikali imewaasa wananchi kutoa taarifa za kuwepo wahamiaji wanaoishi maeneo mbalimbali  nchini kinyume na sheria  za nchi ili raia wema waweze kufanya shughuli za maendeleo kwa amani na salama huku ikiwaasa watumishi wa Idara ya Uhamiaji kuwa waadilifu katika maeneo yao ya kazi.

Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wahamiaji Duniani, yaliyofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja yenye kauli mbiu ya Uhamiaji Unaozingatia Utu

Akizungumza kwenye maadhimisho hayo Naibu Waziri Masauni amesema ni lazima wananchi washirikiane na vyombo vya ulinzi na usalama kufichua wahamiaji haramu wanaoishi maeneo mbalimbali nchini.

“Serikali ya Tanzania inaheshimu haki za kila mtu na ndio maana tumeingia mikataba mbalimbali ya kimataifa yenye kulinda utu wa kila raia awe raia au mgeni aliyepo nchini, lakini hatutokuwa tayari kuona wahamiaji wasiofuata sheria za nchi wakiingia nchini kinyume na  taratibu zilizowekwa,” alisema Masauni
 Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, Mhandisi  Hamad Masauni, akizungumza wakati  wa  Maadhimisho  ya  Siku  ya  Kimataifa  ya  Wahamiaji  Duniani, ambayo  kwa  hapa  nchini  yamefamyika  leo, katika  Viwanja  vya  Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.Kauli  mbiu  ikiwa  Uhamiaji  Unaozingatia Utu.
Kamishna Jenerali  wa Uhamiaji, Dk. Anna Makakala, akizungumza wakati  wa  Maadhimisho  ya  Siku  ya  Kimataifa  ya  Wahamiaji  Duniani, ambayo  kwa  hapa  nchini  yamefanyika  leo, katika  Viwanja  vya  Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.Kauli  mbiu  ikiwa  Uhamiaji  Unaozingatia Utu..Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi


 Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, Mhandisi  Hamad Masauni, akisikiliza  maelezo  juu  ya  historia  ya  mabadiliko  ya  Pasi za Kusafiria  kutoka kwa mtaalamu wa pasi hizo,  Sajini  wa  Uhamiaji, Vedasto  Rweikiza(kulia), wakati  wa  Maadhimisho  ya  Siku  ya  Kimataifa  ya  Wahamiaji  Duniani, ambayo  kwa  hapa  nchini  yamefanyika  leo, katika  Viwanja  vya  Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.Kauli  mbiu  ikiwa  Uhamiaji  Unaozingatia Utu. Kushoto ni Kamishna Jenerali  wa Uhamiaji, Dk. Anna Makakala.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, Mhandisi  Hamad Masauni, akipokea zawadi  kutoka  kwa  Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Salma Panja(kulia),  baada ya kutembelea mabanda ya maonyesho  wakati wa Maadhimisho  ya  Siku  ya  Kimataifa  ya  Wahamiaji  Duniani, ambayo  kwa  hapa  nchini  yamefanyika  leo, katika  Viwanja  vya  Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam. Kauli  mbiu  ikiwa  Uhamiaji  Unaozingatia Utu. Kushoto ni Kamishna Jenerali  wa Uhamiaji, Dk. Anna Makakala.
 Naibu  Waziri  wa  Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, Mhandisi  Hamad Masauni na Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala (kushoto), wakiangalia pasi ya kusafiria walipotembelea mabanda ya maonyesho wakati  wa  Maadhimisho  ya  Siku  ya  Kimataifa  ya  Wahamiaji  Duniani, ambayo  kwa  hapa  nchini  yamefamyika  leo, katika  Viwanja  vya  Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.Kauli  mbiu  ikiwa  Uhamiaji  Unaozingatia Utu.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu

yaani makala yote Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/wananchi-waaswa-kuwafichua-wahamiaji.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Wananchi waaswa kuwafichua Wahamiaji Haramu"

Post a Comment