BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA

BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA
kiungo : BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA

soma pia


BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA

Na John Nditi, Morogoro
NAIBU Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa amesema , Serikali inatarajia kufanya usanifu wa  barabara ya Morogoro- Dodoma yenye urefu wa kilometa zipatazo 259 katika mwaka wa fedha wa 2018/2019 kwa ajili ya kupata michoro na gharama halisi ili kujengwa  upya kwa   viwango  cha ubora   na mahitaji ya sasa .

Naibu Waziri alisema hayo  mjini Morogoro  alipofanya ziara ya ukaguzi wa matengenezo ya barabara  katika maeneo mbalimbali kutoka Dodoma hadi Moropgoro  yakiwemo ya Kibaigwa , Gairo  na kuangalia shughuli za  ujenzi wa mizani mpya ya  kisasa  eneo la  Dakawa Magereza  barabara ya Morogoro- Dodoma .

Alisema , licha ya kuendelea kuihudumia   barabara kuu hiyo ,  kwa sasa Serikali imekuja na mpango mwingine wa kufanya usanifu kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019 ili kupata michoro ambayo itaelezea  gharama halisi ya kujenga barabara mpya katika  kiwango cha ubora na mahitaji ya sasa.

Naibu Waziri alisema,  Serikali inatenga  fedha nyingi kila mwaka fedha kwa ajili ya ukarabati wa barabara kuu ikiwemo ya Morogoro- Dodoma  ili ziweze  kutoa huduma za usafirishaji wa abiria na mizigo ambapo kwa baabara hiyo iliyojengwa miaka zaidi ya 30 iliyopita kwa hali yake ya  sasa imechakaa  na kuzeeka.
 Naibu  Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa ( kaunda suti) akipata maelezo  ya   Mhandisi mkazi wa Kampuni ya uhandisi ya  Ambicon , Mustafa Kasmir ( kulia) alipokagua  shughuli za  ujenzi wa mizani mpya ya  kisasa  eneo la  Dakawa  Magereza  barabara  kuu ya Morogoro- Dodoma  hivi karibuni na (  anayemfuatia Naibu Waziri ) ni Meneja wa Wakala wa Barabara ( TANROADS )  mkoa wa Morogoro,   Mhandisi Doroth  Mtenga.
 Naibu  Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa ( kaunda suti)  akisisitiza  jambo wakati akikagua shughuli za  ujenzi wa mizani mpya ya  kisasa  eneo la  Dakawa  Magereza  barabara  kuu ya Morogoro- Dodoma  hivi karibuni na ( wapili kushoto) ni Meneja wa Wakala wa Barabara ( TANROADS )  mkoa wa Morogoro,   Mhandisi Doroth  Mtenga.
 Naibu  Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa ( kaunda suti) akikagua  shughuli za  ujenzi wa mizani mpya ya  kisasa  eneo la  Dakawa  Magereza  barabara kuu ya Morogoro- Dodoma  hivi karibuni akiongozwa na  Mhandisi mkazi wa Kampuni ya uhandisi ya  Ambicon , Mustafa Kasmir ( kulia)  akiambatana na  Meneja wa Wakala wa Barabara ( TANROADS )  mkoa wa Morogoro,   Mhandisi Doroth  Mtenga ( wapili kushoto)  pamoja na Wakala wa Mradi kutoka Kampuni ya Group  Six International Ltd , Mhandisi Abdallah Rashid.( Picha na John Nditi).

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA


Hivyo makala BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA

yaani makala yote BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/12/barabara-ya-moro-dom-kufanyiwa-usanifu.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "BARABARA YA MORO- DOM KUFANYIWA USANIFU ILI KUJENGWA UPYA"

Post a Comment