title : MKUU WA MKOA WA TABORA AMTEMBELEA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB
kiungo : MKUU WA MKOA WA TABORA AMTEMBELEA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB
MKUU WA MKOA WA TABORA AMTEMBELEA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Agrey Mwanry (wa pili kushoto) akifurahi jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, walipokutana kwa mazungumzo kwenye Makao Makuu ya Benki ya CRDB, Azikiwe jijini Dar es salaam leo. Wengine pichani ni kutoka kulia, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge, Martha Geleka, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nzega, Philemon Magesa pamoja na Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Agrey Mwanry (wa tatu kushoto) akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela pamoja na ujumbe wake, walipokutana kwa mazungumzo kwenye Makao Makuu ya Benki ya CRDB, Azikiwe jijini Dar es salaam leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akimueleza jambo, Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Agrey Mwanry walipokutana kwa mazungumzo kwenye Makao Makuu ya Benki ya CRDB, Azikiwe jijini Dar es salaam.
picha ya pamoja.
Hivyo makala MKUU WA MKOA WA TABORA AMTEMBELEA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB
yaani makala yote MKUU WA MKOA WA TABORA AMTEMBELEA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA MKOA WA TABORA AMTEMBELEA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/mkuu-wa-mkoa-wa-tabora-amtembelea.html




0 Response to "MKUU WA MKOA WA TABORA AMTEMBELEA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA CRDB"
Post a Comment