title : MKUU WA JESHI LA MAGEREZA AKUTANA NA RC NJOMBE KABLA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE
kiungo : MKUU WA JESHI LA MAGEREZA AKUTANA NA RC NJOMBE KABLA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE
MKUU WA JESHI LA MAGEREZA AKUTANA NA RC NJOMBE KABLA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE
Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini (CGP) Phaustine Kasike akielezea malengo ya ziara yake ya kikazi mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe alipotembelea Ofisi za Mkoa huo.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjdhYd-iLbs71oUpzvUEKhUPd8TN42SnK-yLsICw-JwkgiO57SqikNgapB60sXgZtKwQq39HJXBnee36T_CvZe-lx_ZvhrxVkdfrQ-qxHn4druuY-CLytPbJhiH41sHv9rMT5dqMfCd9Pup/s640/PIX+4.JPG)
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike akikagua mashamba ya chai ya Gereza Njombe kabla ya kuhitimisha ziara yake, leo Novemba 15, 2018.
Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP. Phaustine Kasike akiagana na baadhi ya askari wa Jeshi la Polisi Mkoani Njombe ambao waliongoza msafara wa Kamishna Jenerali katika vituo vyote alivyotembelea Mkoani humo.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Christopher Ole Sendeka (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(wa pili toka kulia) pamoja na wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Njombe. Wa pili toka kushoto ni Katibu Tawala Mkoa wa Njombe, Bw. Erick Shitindi ( Picha na Jeshi la Magereza).
Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Mhe. Christopher Ole Sendeka akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini (CGP) Phaustine Kasike alipotembelea Ofisi za Mkuu wa Mkoa kabla ya kuhitimisha ziara yake ya kikazi, leo Novemba 15, 2018.
Hivyo makala MKUU WA JESHI LA MAGEREZA AKUTANA NA RC NJOMBE KABLA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE
yaani makala yote MKUU WA JESHI LA MAGEREZA AKUTANA NA RC NJOMBE KABLA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MKUU WA JESHI LA MAGEREZA AKUTANA NA RC NJOMBE KABLA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/mkuu-wa-jeshi-la-magereza-akutana-na-rc.html
0 Response to "MKUU WA JESHI LA MAGEREZA AKUTANA NA RC NJOMBE KABLA YA KUHITIMISHA ZIARA YAKE"
Post a Comment