Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.

Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.
kiungo : Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.

soma pia


Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.

Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi Zanzibar Mussa Aboud Jumbe, akionyesha mtambo wa barafu ambao tayari umeshaingizwa ndani ya soko la samaki na mboga mboga Tumbe Wilaya ya Micheweni
NAIBU Waziri wa Wizara ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Zanzibar Lulu Mshamu, akizungumza na Viongozi wa baraza la Vijana Taifa Pemba, juu ya suala zima la kuibua miradi ya maendeleo mkutano uliofanyika mjini chake chake
AFISA Mdhamini Ofisi ya Raisi Tawala la Mikoa, Serikali za Mitaa na  Idara Maalumu za SMZ, Juma Nyasa Juma alifunga mafunzo ya mafunzo ya uandaaji wa mipango shirikishi na uibuaji wa miradi ya maendeleo ya jamii kwa mamlaka za serikali za mitaa kwa madiwani wa Kisiwa cha Pemba.
(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)


Hivyo makala Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo.

yaani makala yote Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/matukio-ya-picha-kisiwani-pemba-leo.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Matukio ya Picha Kisiwani Pemba leo."

Post a Comment