title : ALIYEKUWA MBUNGE WA TEMEKE ABDALAH MTOLEA AOMBA KUJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
kiungo : ALIYEKUWA MBUNGE WA TEMEKE ABDALAH MTOLEA AOMBA KUJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
ALIYEKUWA MBUNGE WA TEMEKE ABDALAH MTOLEA AOMBA KUJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Wakati tarehe ya mwisho ya kupokea viongozi wa upinzani wanao omba kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikifika leo hii, Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke kwa tiketi ya Chama cha CUF Abdalah Mtolea amejivua uanachama wa CUF na kujiuzuru Ubunge wa Jimbo la Temeke, huku akieleza chanzo kikiwa migogoro isiyoisha katika Chama cha CUF kwa zaidi ya miaka miwili sasa. Tukio la kujivua uanachama wa CUF na kujiuzuru ubunge lilitokea ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wakati akichangia hoja katika mjadala uliokuwa unaendelea mapema leo.
Ndugu Abdalah Mtolea jioni ya leo ametangaza nia yake ya kuomba kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) akieleza msingi wa uamuzi huo ukiwa umejengwa katika ukweli kwamba wengi ya wapiga kura wake wamemshauri kujiunga na CCM.
Akizungumza katika kikao cha waandishi wa habari, watumishi na baadhi ya wanachama wa CCM katika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM Jijini Dodoma, Ndugu Mtolea ameeleza sababu zinazopelekea kuomba kujiunga na CCM na kuwa amevutiwa na Mageuzi makubwa ya Kiuongozi na kazi nzuri inayofanywa na CCM na Serikali yake chini ya Ndugu John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kikao hicho cha waandishi wa habari, watumishi na baadhi ya wanachama wa CCM kimehudhuriwa pia na Kamaradi Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM ambaye amemwelekeza kwenda katika tawi lililo karibu na makazi yake Wilayani Temeke, Jijini Dar es Salaam ili afuate utaratibu wa kuomba uanachama wa CCM.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiV0rwFaX-lEQYjVcUseHp-_s04sDVeoddWeraLlyvUDwt1huGwwvINvHrYNjrAs83rds3nJkhr0mqxgc_DQr7VWy51R1J4MjDr_KGkXcWPF7ix8bj-xqlPq6CVMPl7iZ33dCunndBoW_by/s640/Picha+ya+Kwanza.jpg)
Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Bashiru Ally akizungumza jambo wakati wa kikao cha Watumishi na baadhi ya Wanachama wa CCM,kushoto aliyekubwa Mbunge wa Temeke kwa Tiketi ya CUF Ndugu Abdalah Mtolea![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtWLJZLaf6DtuEvbae59NO5mgjMWdfsvp7r6KGjeMyL5Of5GDZYwNdgvXcGGo-KcExfi-eIKI51FZCJpFzMCS3FUjISsCCpe8TMGjCdjVDtK5DRC668ygXSrlgg3KIAzf0HiMOOM1_J4nf/s640/Picha+ya+Pili.jpg)
Ndugu Bashiru Ally Katibu Mkuu wa CCM na kushoto na aliyekubwa Mbunge wa Temeke kwa Tiketi ya CUF Ndugu Abdalah Mtolea Wakifurahia Jambo![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1y4PbJrtX8JlO1SH-UpsZlpBNJddvEo-IuNcRnElK1mQB8mtgE3tLbM3yDEuM1uVd9lZ7s0Fox0z72yhNY3vkaXv1AXfcvZXUvwkqHthfbX9j3ns1b_goYxfzIl135u12x32pfLgiRT9F/s640/Picha+ya+Tatu.jpg)
Kikao cha Watumishi na Baadhi ya Wanachama wa CCM na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Bashiru Ally Kakurwa ambacho kilipata bahati ya kupokea kauli ya Ndugu Mtolea kuomba kujiunga na CCM.
Ndugu Abdalah Mtolea jioni ya leo ametangaza nia yake ya kuomba kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) akieleza msingi wa uamuzi huo ukiwa umejengwa katika ukweli kwamba wengi ya wapiga kura wake wamemshauri kujiunga na CCM.
Akizungumza katika kikao cha waandishi wa habari, watumishi na baadhi ya wanachama wa CCM katika Ofisi ya Makao Makuu ya CCM Jijini Dodoma, Ndugu Mtolea ameeleza sababu zinazopelekea kuomba kujiunga na CCM na kuwa amevutiwa na Mageuzi makubwa ya Kiuongozi na kazi nzuri inayofanywa na CCM na Serikali yake chini ya Ndugu John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kikao hicho cha waandishi wa habari, watumishi na baadhi ya wanachama wa CCM kimehudhuriwa pia na Kamaradi Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM ambaye amemwelekeza kwenda katika tawi lililo karibu na makazi yake Wilayani Temeke, Jijini Dar es Salaam ili afuate utaratibu wa kuomba uanachama wa CCM.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiV0rwFaX-lEQYjVcUseHp-_s04sDVeoddWeraLlyvUDwt1huGwwvINvHrYNjrAs83rds3nJkhr0mqxgc_DQr7VWy51R1J4MjDr_KGkXcWPF7ix8bj-xqlPq6CVMPl7iZ33dCunndBoW_by/s640/Picha+ya+Kwanza.jpg)
Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Bashiru Ally akizungumza jambo wakati wa kikao cha Watumishi na baadhi ya Wanachama wa CCM,kushoto aliyekubwa Mbunge wa Temeke kwa Tiketi ya CUF Ndugu Abdalah Mtolea
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgtWLJZLaf6DtuEvbae59NO5mgjMWdfsvp7r6KGjeMyL5Of5GDZYwNdgvXcGGo-KcExfi-eIKI51FZCJpFzMCS3FUjISsCCpe8TMGjCdjVDtK5DRC668ygXSrlgg3KIAzf0HiMOOM1_J4nf/s640/Picha+ya+Pili.jpg)
Ndugu Bashiru Ally Katibu Mkuu wa CCM na kushoto na aliyekubwa Mbunge wa Temeke kwa Tiketi ya CUF Ndugu Abdalah Mtolea Wakifurahia Jambo
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1y4PbJrtX8JlO1SH-UpsZlpBNJddvEo-IuNcRnElK1mQB8mtgE3tLbM3yDEuM1uVd9lZ7s0Fox0z72yhNY3vkaXv1AXfcvZXUvwkqHthfbX9j3ns1b_goYxfzIl135u12x32pfLgiRT9F/s640/Picha+ya+Tatu.jpg)
Kikao cha Watumishi na Baadhi ya Wanachama wa CCM na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Bashiru Ally Kakurwa ambacho kilipata bahati ya kupokea kauli ya Ndugu Mtolea kuomba kujiunga na CCM.
Hivyo makala ALIYEKUWA MBUNGE WA TEMEKE ABDALAH MTOLEA AOMBA KUJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
yaani makala yote ALIYEKUWA MBUNGE WA TEMEKE ABDALAH MTOLEA AOMBA KUJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala ALIYEKUWA MBUNGE WA TEMEKE ABDALAH MTOLEA AOMBA KUJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/11/aliyekuwa-mbunge-wa-temeke-abdalah.html
0 Response to "ALIYEKUWA MBUNGE WA TEMEKE ABDALAH MTOLEA AOMBA KUJIUNGA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)"
Post a Comment