WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE

WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE
kiungo : WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE

soma pia


WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE

CHAMA CHA WAFAMASIA TANZANIA
Uongozi na wanachama wa Chama cha Wafamasia Tanzania unatoa pole
kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa. Dkt. John Pombe
Magufuli, ndugu, jamaa na Watanzania wote kwa ujumla kwa msiba mkubwa
uliotokea kutokana na ajali ya kivuko cha Mv. Nyerere iliyotokea katika ziwa
Victoria, tarehe 20.09.2018.Tunawaombea majeruhi wapone haraka na
Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi.
AMINA
Imetolewa na
Rais wa Chama cha Wafamasia Tanzania (PST)
Wafamasia: Wataalamu wako wa dawa



Hivyo makala WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE

yaani makala yote WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/wafamasia-waomboleza-maafa-ya-ajali-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WAFAMASIA WAOMBOLEZA MAAFA YA AJALI YA KIVUKO CHA MV. NYERERE"

Post a Comment