RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA ..

RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA .. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA .., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA ..
kiungo : RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA ..

soma pia


RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA ..




Na.John Luhende 
Mwamba wa habari
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ,ameitisha wananchi wa mkoa huo kupeleka malalamiko yao ofisini  kwake yale yanayo husiana na utapeli wa nyumba kupitia hati  kwa madai ya mkopo wa fedha.

Akizungumza na waandishi wa habari  RC makonda amesema amekumekuwana utapeli wa ainayake ambapo watu hukopeshana fedha na kuweka hati ya nyumba kamadhamana na baadaya hapo aliye mkopesha  na kuchukua mkopo  kiasi kikubwa cha fedha  bila makubaliano na mwenye hati jambo ambalo limesababisha usumbufu na dhuruma kwa wananchi .

‘’Tutakuwa na wikimoja kuanzia jumamosi ijayo wananchi wenyemikopo Bank wasiyo ielewa wapeleke  taarifa zao kwa wakuu wa Wilaya na jumatatu ijayo tutakuwa nakikao  sisi na mabenk kujadiliana nao namna gani  nzuri zaidi wanaweza kukopesha wanachi kupitia hati za nyumba bila kuathiri mwananchi na bila Bank kupatahasara” amesema.

Amesema baadaya tatizo hili kuongezaka serikali ya mkoa   imeamua kuwaomba wananchi hao  kushurikiana na serikali ilikuondoa tatizo la minada yanyumba ambayo inakuwa wananchi hawakukopa  na waliokopa kwa kuuziwa nyumbazao .

“Unakuta mtu amemkopesha mtu milioni tano anapewa hati naye anaenda kukopea fedha  hadi million 100, na mkopo huo hashughuliki nao hadi nyumba inauzwa na matokeo yake mtu nyumba yake   inauzwa  , kesi kama hizo tunazo kama 500 kwa  wilaya ya  Kinondoni pekee’’ amesema.

Pamoja na hayo  RC Makonda amesema,  atapeleka mapendekezo  Wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi  ili kilakata iwe na afisa ardhi , ilikila kata ianapopimwa awepo kulinda ardhi katika eneo husika  na lengo lakelikiwa kusogeza huduma kwa wananchi na kukomesha utapeli wa ardhi .


Hivyo makala RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA ..

yaani makala yote RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA .. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA .. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/rc-makonda-tutafanya-kikao-na-mabank.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "RC MAKONDA TUTAFANYA KIKAO NA MABANK YOTE 52 DAR ,KUHUSU UTAPELI WA HATI ZA NYUMBA .."

Post a Comment