RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO .

RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO . - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO ., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO .
kiungo : RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO .

soma pia


RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO .



 Mwamba wa habari
Na. John Luhende
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Dar es salaam, amewataka wananchi wa Jimbo la Ukonga na kata zinazofanya uchaguzi ikiwemo kata ya Vingunguti kujitokeza kupiga kura bila uwoga.

RC Makonda ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, na kusema kuwa  ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya mkoa huo ambapo  uchaguzi utafanyika kesho siku ya 16,jumapili.

"Wananchi mnaotarajia kesho kupiga kura naomba mkapige kura tena jitokezeni mapema tumejipanga ulinzi na usalama utakuwa wa kutosha, na nashukuru vyama vyote kushirikiana na tumeya uchaguzi wamewekeana makubalino kila mtu atakapo Maliza kupiga kura  aondoke  , tumejifunza kwa chaguzi zilizopita hatutaki yajirudie” amesema.

Aidha amevitaka vyamavyote  baadaya uchaguzi  kuyapokea vizuri asiyekubali si mshindani na wayapokee  matokeo  yatakaoyo tangazwa na tumeya uchaguzi  kuyapokea na kusherehekea  kwa amani bila kufanya fujo.

‘’ Niwasihi sana  kukitokea machafuko hapa   maanayake hata utalii tutauharibu ,sura ya Dar es salaam  nisura ya Tanzania yetu ,  niwaombe tuhakikishe tunafuata sheria taratibu na kanuni  na hatimaye tukamilishe uchaguzi  wetu kwa amani na tukitarajia ushindi kwa yule ambaye mmemchagua  ambaye mnamtaka kwaajili ya kuwaongoza na kuwaletea maendeleo’’ amesema



Hivyo makala RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO .

yaani makala yote RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO . Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO . mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/rc-makonda-tumeimarisha-ulinzi-wananchi.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "RC MAKONDA :TUMEIMARISHA ULINZI, WANANCHI UKONGA NA KATA ZINAZOFANYA UCHAGUZI KESHO ."

Post a Comment