MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA.

MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA.
kiungo : MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA.

soma pia


MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA.



 Katibu tawala wa Manispaa ya Kigamboni Rahel Mhandao, akitangaza matokeo ya nauchaguzi wa Naibu meya wa Halmashauri hiyo kulia ni Meya wa wa manspaa hiyo Maabadi Hoja  katikati ni kaimu  Mkurugengenzi wa kigamboni David sukali.



 Diwani wa viti maalumu Zuhura Dolla CCM  akipiga kura ya katika uchaguzi wa naibu meya  wa Manispaa ya Kigamboni .
Mwamba wa habari 
Na John Luhende
Chama  Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na mshindi wa kishindo  katika uchaguzi wa Naibu Meya wa Halmshauri ya Manispaa ya Kigamboni, jijini Dar es Salaam ambapo mgombea   wake  Diwani wa Kata ya  Kibada, Amin Mzuri Sambo , amepata kura  nane kati ya tisa zilizopigwa.


Katika uchaguzi huo, uliofanyika leo jioni, Mgombea wa Chama cha  Wananchi (CUF),  ambaye ni Diwani wa Kata ya  Tungi, Ernest  Mafimbo, alijitoa katika dakika za mwisho na kushangaza wajumbe kuwa hakuwa na taarifa  kwamba anagombea.
“Mimi sikuwa na taarifa kwamba nagombea.  Chama cha wananchi CUF  hakijanipa barua  ya kuteuliwa kushiriki uchaguzi huu.
Ndiyo maana hata hapa hawapo,”alisema Mafimbo, hali iliyozua hali ya sitofahamu ukumbini.
Hata hivyo Ofisa wa Uchaguzi huo  Magdalena Malunda aliwathibitishia wajumbe kuwa, Halmshauri iliviandikia vyama vyote vyenye madiwani katika baraza hilo na kwamba CUF ilimtambulisha Mafimbo kwa barua kuwa ndiye mgombea hivyo inashangaa kusikia akisema hana taarifa.
Kufuatia hali hiyo Mafimbo alitangaza kujitoa  katika kinyang’anyiro hicho  hivyo kumpa upenyo  Mzurisambo  kuwa mgombea pekee.
Akitangaza matokeo mara baada ya upigaji kura kukamilika, Katibu Tawala wa Hal,shauri ya Manispaa ya Kigamboni, Rachael Mhando alisema,  kura zilizopigwa zilikuwa tisa ambapo kura moja  ilikuwa ni ya hapana hivyo kumtangaza  Mzurisambo kuwa Naibu Meya.
Mzurisambo ambaye alikuwa akitetea  kiti hicho ambacho amekiongoza  tangu mwaka 2016,  aliwashukuru wajumbe kwa kumuamini na kumpa dhamana ya kuongoza tena na kwamba atashirikiana kwa karibu na viongozi na wananchi wa Kigamboni katika kuieletea maendeleo wilaya hiyo.
Mbali na uchaguzi huo wa Naibu Meya ambao  hufanyika kila mwaka, pia  baraza hilo lilifanya uchaguzi wa wenye viti wa kamato mbalimbali.


Hivyo makala MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA.

yaani makala yote MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/mgombea-wa-cuf-nafasi-ya-naibumeya.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MGOMBEA WA CUF NAFASI YA NAIBUMEYA MANISPAA YA KIGAMBONI AJITOA DAKIKA ZA MWISHO , CCM YAPETA."

Post a Comment