DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda

DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda
kiungo : DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda

soma pia


DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda






MKUU wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema atoa agizo la kukamatwa kuwekwa ndani Diwani wa Kata ya Kitunda Nice Gisunte (CHADEMA) kufuatia diwani huyo kumzuia Mkuu wa wilaya ya Ilala kutekeleza majukumu yake katika ziara ya kutatua kero za wananchi Jimbo La UKONGA.

Akitoa agizo hilo Sophia Mjema aliamuru awekwe ndani masaa  48 diwani huyo kuanzisasa baada  diwani huyo  kuingilia ziara ya mkuu wa wilaya  ya kutatoa kero za wananchi.


"Mimi ndio MWENYEKITI wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya uwezi kunizuia kuongea katika Wilaya yangu natekeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi pia namwakilisha  Rais John Magufuli kuakikisha Maendeleo yanakuwa wewe ni  Diwani CHADEMA  pia unatelekeza ilani ya CCM uwezi kunizuiya kuzungumza na wananchi polisi kamata weka ndani "alisema Mjema.

Kufuatia agizo hilo Askari kanzu   walimkata diwani Nice na kuondoka naye majira ya saa Saba  .

Wakati huohuo Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema amegoma kupokea Mradi wa maji wa Kitunda Kipera kufuatia mradi huo kujengwa chini ya Kiwango.


Mjema amewaagiza Mkandarasi wa Sk Building Civil Engineering Work Ltd kujenga upya Mradi huo kufuatia kujengwa chini ya kiwango.

Alisema Mradi huo wa maji umegharimu shilingi milioni 50 fedha iliyotumika shilingi milioni 38  kisima kimechimbwa mita 80 badala mita 100.

"Mradi wa wananchi hivyo lazima uwe mzuri
wananchi waone juhudi za Serikali yao  ya awamu ya tano ya Rais John Magufuli na kutekekeza kauli mbiu ya hapa kazi  "alisema.

Aidha pia aliwataka wakazi wa Jimbo la UKONGA kutoa ushirikiano  katika kurasimisha makazi yao kwa ajili ya kupimiwa  kwa gharama ya shilingi 250,000  bei ya Serikali  iliyotangazwa na WAZIRI wa Ardhi  William Lukuvi.

Pia aliwatoa hofu wananchi   wa Jimbo la Ukonga Serikali yao sikivu amna nyumba zitakazo vunjwa katika wilaya ya Ilala ila wasikae mabondeni  ..



Hivyo makala DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda

yaani makala yote DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/08/dc-mjema-atoa-agizo-la-kuwekwa-ndani.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "DC Mjema atoa agizo la kuwekwa ndani Diwani wa Kitunda"

Post a Comment