TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI

TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI
kiungo : TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI

soma pia


TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.

Mkutano Mkuu wa Yanga uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam umemteua Tarimba Abbas kuwa mwenyekiti  odi ya   wa kamati maalumu ya kushughulikia usajili na mikataba ya wachezaji akisaidiwa na aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Saddick.

Uteuzi huo umefanywa na bodi ya wadhamini na kuamua kuunda  kamati maalumu kwa ajili ya kushughulikia usajili na mikataba yote ya wachezajia.

Kamati hiyo maalumu inaanza kazi moja kwa moja kuhakikisha wanafanya usajili wa makini na pia kuipitia mikataba ya wachezaji waliomaliza muda wao na wale waliopo bado hawajamaliza.

Bodi ya wadhamini imeweza pia kuteua wajumbe watakaosaidiana ambao ni  Abdallah bin Kleib, Ridhiwani Kikwete,Nyika Hussein,Samuel Lukumay,Mashauri  Lucas, Yusuphed Mhandeni na Ahmed Islam.

Wengine ni Makaga Yanga,Majid Suleiman na Ndama ambao wanatakiwa kuhakikisha usajili wa Yanga unaenda kama walivyopanga.

Mkutano huo uliweza kumalizika kwa amani na wanachama wote kuazimia kwenda katika mfumo wa mabadiliko


Hivyo makala TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI

yaani makala yote TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/tarimba-abbas-mwenyekiti-kamati-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "TARIMBA ABBAS MWENYEKITI KAMATI YA USAJILI"

Post a Comment