Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC

Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC
kiungo : Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC

soma pia


Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC

Na Agness Francis, Globu ya Jamii
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein ameipongeza Benki ya taifa ya biashara NBC kwa kasi  na juhudi za kukuza  Uchumi wa Zanzibar.

Akizungumza mkuu wa mkoa wa  mjini Magharib Ayoub Mohammed Mahmoud kwa niaba ya Rais  katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort,amesema kuwa pato la Taifa limekuwa likikuwa mwaka hadi mwaka  kutoka na mchango unaotolewa na taasisi mbali mbali ikiwemo benki hiyo ya NBC.

Dkt Shein ameipongeza  benki hiyo kwa kuonyesha umuhimu kwa wateja wake kwa kurejesha miongoni mwa faida wanazozipata ikiwemo kwa njia hiyo ya kufutirisha na kutoa huduma nyingine mbali mbali kwa jamii.

Aidha akizungumza katika hafla hiyo ya futari Kaimu Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Benki ya NBC  Dk Kassim Hussein amesema kuw kwa huduma za kifedha kisiwani Zanzibar ni kutokana na juhudi  bora zinazotolewa na benki hiyo inayokwenda sambamba na mahitaji ya wateja wake.

Dk Hussein amesema kuwa mazingira salam yaliopp Zanzibar yanayoimarishwa na viongozi wakuu wa nchi imewezesha benki hiyo kufanya kazi zake za kutoa huduma za kifedha kwa ufanisi zaidi.

Vile vile amesema kuwa benki hiyo imeanzisha huduma  za kibenki  kiislam ambayo inatoa huduma za mikopo kwa misingi ya sheria ya kiislamu.

Katika hafla hiyo  ya futafi iliyoongozwa  na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein,Mawaziri,Jaji Mkuu,Mufti mkuu wa Zanzibar  viongizi mbali mbali wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na wateja wa benki ya NBC.
 Kaimu mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa benki ya NBC Dk.Kasim Hussein wakati wa kufutu katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Visiwani Zanzibar mwishoni mwa wiki akizungumza  kuwa benki hiyo imeshaanzisha huduma ya kibenki ya kiislamu ambayo itatoa huduma  za mikopo kwa misingi ya sheria ya Kiislamu.
Raiz wa Zanzibar na Maenyekiti wa baraza la mapinduzi Dk.Ali Mohammed Shein akichukua chakula  wakati wa kufuturu futari iliyoandaliwa na na Benki ya NBC,mwishoni mwa wiki visiwani Zanzibar katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort.


Hivyo makala Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC

yaani makala yote Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/dk-shein-kuhudhuria-hafla-ya-futari.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Dk. Shein kuhudhuria hafla ya futari iliyoandaliawa na NBC"

Post a Comment